Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Jirani kama jiraniTalk dark handsome man
Jirani kama jiraniTalk dark handsome man
Ni noma aisee 😩Ah vipo sana
Huko insta wamejazana hao na ushuhuda juu
Wanatushushua sisi ambao hatujali naniliu .. slogan zao hizo.
Wanatumia watu wote haijalishi kama bado hujazaa wala nn , inasafisha pia huko na kuondoa nuksi .
Rabeka jiraniJirani kama jirani
Rabeka jiran
Nikikuita
Unakuja na boda boda
Unanitoza hela bolt
Lazima nifidie hasara




sasa si uje unichukue mwenyewe tyuuh.Pole umeumwa tena, angalia dawa unazotumia wasije wakawa wanakutibia juu juu bila kwenda kwenye rootsAm sick en tired of being sick en tiredView attachment 2274729
Vifimbo😁Vistick ni vinini tena jamani
Mweh watu wanahangaika mno .unawekaje tu vitu kama hivyoNi noma aisee![]()
Mungu akufanyie wepesi upone 🙏Am sick en tired of being sick en tiredView attachment 2274729
Mchoree😜Vya kubana naniliu
Eeeh hebu nieleweshe hivi vitsick nn, maana nasikia sielewagi.Ah vipo sana
Huko insta wamejazana hao na ushuhuda juu
Wanatushushua sisi ambao hatujali naniliu .. slogan zao hizo.
Wanatumia watu wote haijalishi kama bado hujazaa wala nn , inasafisha pia huko na kuondoa nuksi .
Mmh sijaelewaMchoree![]()
Eti kubana😆😆😆😅Vya kubana naniliu
Sketch it🤣Mmh sijaelewa
Okay dearEeeh hebu nieleweshe hivi vitsick nn, maana nasikia sielewagi.