Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Pole mpendwaAm sick en tired of being sick en tiredView attachment 2274729
Pole mpendwaAm sick en tired of being sick en tiredView attachment 2274729
Mnasimamaga kumbe heh
Alafu issue sio tu vistick kuna douching kuna wengine wanatumia sabuni kali zinaua mpaka askari walinzi wa uke kuna wengine maji wanakunywa mpaka wakisikia kiu na wakinywa wanapiga trumpet glass nzima hashushi
Uswahilini wanaweka cofta viskingo au pipi kali anaweka na limau yani K inaungwa 😅😅😅Ikitokea unasimama zako tu
Vyoo vingine havifai
Mambo ni mengi sana , watu wanataka kufanya majaribio ya miili yao . Nasikia kuna Yoni feki na bado watu wanazitumia aisee .
SawasawaPole jirani,, huku mkoani tumekuchagua wenyewe hatuna budi kukaza
Mh balaa inahitajika awareness kwa jamiiUswahilini wanaweka cofta viskingo au pipi kali anaweka na limau yani K inaungwa![]()
Aisee...Pole jirani yetuIkitokea unasimama zako tu
Vyoo vingine havifai
Mambo ni mengi sana , watu wanataka kufanya majaribio ya miili yao . Nasikia kuna Yoni feki na bado watu wanazitumia aisee .
Vistick ni vinini tena jamaniPointi ya pili si wote wanaweka vistick huko chini lakini wanapata uti .
Vyoo vingine vichafu hapo huwezi kukwepa uti
Ndo maana bora mtu usimame tu kwa choo public
Asante mamaPole
AmenPole sana
Mungu akuponye
Asante tushazoea hali hiyoAisee...Pole jirani yetu
Asante mamaPole mpendwa
Vya kubana naniliuVistick ni vinini tena jamani
MweeeeeVya kubana naniliu
Hivyo vya mudaMweeeee
Tunae kazi wanawake..
😅😅ni huyo wewe na akili zake mbofu😅Ebu
Fafanua
Tatizo lakoNi mjadala mrefu visababishi ni vingi mojawapo ni irrational use of antibiotics pia na uuzwaji holela wa dawa so far ndo mana TMDA imepewa nguvu pia wameondoa maduka ya dawa baridi na pia kubana leseni za biashara ya pharmacy
Sababu nyingine ni za wanawake wenyew wanafanya mambo mengi mengi uko chini na pengine japo si hoja sana ni kuhama kutoka pit latrine kwenda izi VIP
DuhHivyo vya muda
Siku hizi wanatumia Yoni pearls na steaming pia
Duh
Yan huwezi amini,, ndio nasikia sahivi haya mambo![]()
Wanatumia watu gani? Waliokwisha pata watoto or?







