Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee
Kwanini sasa?
Me mpaka hapa nilipofika sijui vidonge vya UTI vinafananaje… ni kwamba nakunywa sana maji ama
Ni mjadala mrefu visababishi ni vingi mojawapo ni irrational use of antibiotics pia na uuzwaji holela wa dawa so far ndo mana TMDA imepewa nguvu pia wameondoa maduka ya dawa baridi na pia kubana leseni za biashara ya pharmacy

Sababu nyingine ni za wanawake wenyew wanafanya mambo mengi mengi uko chini na pengine japo si hoja sana ni kuhama kutoka pit latrine kwenda izi VIP
 
Ni mjadala mrefu visababishi ni vingi mojawapo ni irrational use of antibiotics pia na uuzwaji holela wa dawa so far ndo mana TMDA imepewa nguvu pia wameondoa maduka ya dawa baridi na pia kubana leseni za biashara ya pharmacy

Sababu nyingine ni za wanawake wenyew wanafanya mambo mengi mengi uko chini na pengine japo si hoja sana ni kuhama kutoka pit latrine kwenda izi VIP

Pointi ya pili si wote wanaweka vistick huko chini lakini wanapata uti .
Vyoo vingine vichafu hapo huwezi kukwepa uti
Ndo maana bora mtu usimame tu kwa choo public
 
Pointi ya hapana si wote wanaweka vistick huko chini lakini wanapata uti .
Vyoo vingine vichafu hapo huwezi kukwepa uti
Ndo maana bora mtu usimame tu kwa choo public
Mnasimamaga kumbe heh

Alafu issue sio tu vistick kuna douching kuna wengine wanatumia sabuni kali zinaua mpaka askari walinzi wa uke kuna wengine maji wanakunywa mpaka wakisikia kiu na wakinywa wanapiga trumpet glass nzima hashushi
 
Back
Top Bottom