Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka hapa nilipofika, sijawahi kukaa chini nikapika chapati za kusukuma
shock-shocked.gif
 
Hahaha noma
Nikienda hospital nahakikisha nimevaa sketi na blouse /suruali .

Nilipiga pia x-ray ya tumbo .. nimejivalisha gauni langu aisee nikalie pale juu ipige picha nilisemwa na hao nurse walikuwa wawili ndani ya chumba .
Nilikuwa mdogo sana hata basi woga umejaa .
Sasa wanakusema Kwa ajili gani?. Kwani ww ulijua?? Muda mwengine manesi nao sijui wapojeee
 

Sijawahi tumia Oven..
Sina.

Zama U tube, utapata maelekezo Kwa vitendo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwanza una preheat oven yako wakti unaandaa keki yako kwa dakika kadha 10 au 15 .. ukimaliza sasa unaset temperature 180°C then unaset dakika kwa 40 to 45 minutes . (Hapa dakika inategemea na cake yako inabidi uichungulie uone inavyoiva)
 
Bwana nilienda hiyo hospital nilikua napata discharge za ajabu ajabu dr akanambia inatakiwa achukue hayo maji maji wenyewe wanasema kuotesha sijui ajue shida ipo wapi lkn siku hiyo nilikua mkavu tu. Dr akaniambia basi inabidi atumie vidole aingize huko heee nikajiuliza kwa nini kidole wakati kawaida najua wanatumia vile vidude kama cotton buds nikasema wacha nimsikilize siwezi bishana na yeye ndio anajua analolifanya akanambia nilale kwene kile kitanda vinavyokuaga kwenye vyumba vyao.

Basi akawa anaingiza vidole nkaanza kuona hali inabadilika anakazana tu kuingiza vidole nikamuambia naumia kama hakuna namna basi nije siku nyingine ananiambia subiri. Nikasema leo yatanikuta makubwa lakin nashukuru hakunifanya lolote badae akaacha akaniambia kapata kiasi atatumia hayo hayo nivae nisepe. Nilijiskia vibaya + aibu kunichungulia muda wote huo wakati kulikua na namna nyingine tena rahisi tu.
shoo yalikukuta
 
Back
Top Bottom