Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Hata mimiMimi hadi leo hii nikienda hospital napenda anihudumie mwanaume kiukweli kabisa.
Hata mimiMimi hadi leo hii nikienda hospital napenda anihudumie mwanaume kiukweli kabisa.
Nilijiskia vibaya sijui alikua na lengo gani.[emoji23][emoji23] shoo yalikukuta
[emoji28][emoji28] kupika najua hata kama siyo hayo mambo
Wanaume hata lugha zao wengi wanajitahidi kuwa na lugha nzuri akina sie sasa [emoji23][emoji23] mdomo kwa kwenda mbele. Napenda baadhi ya hospital ukienda unaulizwa kabisa unahitaji kuhudumiwa na dr wa kike ama wa kiume fasta sana nawajibu dr mwanaume tafadhali.Hata mimi
Mwanaume anayejua kupika ndiyo mzuri sanaYeah
Sio vibaya
Me anapika huyo hadi wewe ke unabaki kushangaa .
Wanaume ndo wapishi wazuri zaidi
Alisema haiwezekani eti [emoji848]Sindano ya matakoni tena , kwanini usichomwe sindano za mishipa
Oven?[emoji134]
Sijawahi tumia Oven..
Sina.
Zama U tube, utapata maelekezo Kwa vitendo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji120]Late birthday wish mkuu mungu akujalie afya njema uishi miaka mingiii mkuu!!
[emoji120][emoji120][emoji120]Happy birthday Beberumwitu...
Mungu wa Mbinguni azidi kukutunza.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ni ka diclofenac nini 😁ndio uwa wanakataa kwenye mshipa.. ni tako au ufunue paja…Alisema haiwezekani eti [emoji848]
[emoji23][emoji23] itabidi nimuulize kwanzaHahaha
Now naendelea vizuri dear, atleast Nina kahaueniHow are you doing mamy??
Yani manesi wanatakiwa kubadilisha lugha zao kiukweli.Nilikuwa kadogo sana
Sasa ile natoa gauni huku natetemeka halafu nimeingia peke yangu bila mzazi .
Huwa Wana majibu ya ovyo kweli
[emoji23][emoji23] niliendaga Amana Kwa wale wa bima. Nilikuwa naumwa mguu ye sijui alijua naumwa paja. Si akasema nyanyuka uvue nione. Weee, nikamwambia dkt mie naumwa mguu, weee alisonyaaa[emoji28]Nilijiskia vibaya sijui alikua na lengo gani.
Alikosa kuona upaja hahaa[emoji23][emoji23] niliendaga Amana Kwa wale wa bima. Nilikuwa naumwa mguu ye sijui alijua naumwa paja. Si akasema nyanyuka uvue nione. Weee, nikamwambia dkt mie naumwa mguu, weee alisonyaaa[emoji28]
Moja ya watu wamuhimu ila washamba mnoAlikosa kuona upaja hahaa
Yani mimi nikijua ndani Kuna dkt wa kiume huwa nafurahia sana. Wana kauli nzuri na wakarimu..Wanaume hata lugha zao wengi wanajitahidi kuwa na lugha nzuri akina sie sasa [emoji23][emoji23] mdomo kwa kwenda mbele. Napenda baadhi ya hospital ukienda unaulizwa kabisa unahitaji kuhudumiwa na dr wa kike ama wa kiume fasta sana nawajibu dr mwanaume tafadhali.
Madaktari 😃😃Moja ya watu wamuhimu ila washamba mno
Weekend ndio hii😃🍹
[emoji16][emoji16] private hiyo. Nilimmind kinouma halafu nilikuwa nimevaa gauni mchongoko.Ni ka diclofenac nini [emoji16]ndio uwa wanakataa kwenye mshipa.. ni tako au ufunue paja…