Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Pole sana...upone harakaNaumwa bhna shostiyo... Tena haswaa.
Pole sana...upone harakaNaumwa bhna shostiyo... Tena haswaa.
Sipo kundi hilo mieBoring nini we wakishua, kasome novels![]()

Ehee ukificha ugonjwa subiri ukufe na ugonjwa wako. Na wale wa operesheni nao wasemaje.Ah pole
Ugonjwa hauna siri .. kama ultrasound ndo kabisa maana unashusha nguo hadi chini .
AmenPole sana...upone haraka
Yes inabidi ukubali tuEhee ukificha ugonjwa subiri ukufe na ugonjwa wako. Na wale wa operesheni nao wasemaje.
Afsa usalama sijui kapotelea wapi, au atakua katingwa na majukumu ya kitaifa🤣🤣🤣Nimemkumbuka yule afsa usalama 🤣🤣😆😆😆
Mbona aiseee arifu 😅💃Aisee....Safiii jirani
Sasa unadhani utafanyaje unavua tuAh pole
Ugonjwa hauna siri .. kama ultrasound ndo kabisa maana unashusha nguo hadi chini
Netball tulifungwa 15 kwa 9 ila tukalipiza kwenye footballHahha poleni Sana inaumaga balaa
Mlifungwa ngapi?
Aah we sio wa mchongoUshua wa mchongo 😄😄😄
😁😁Nyumbani? thubutu, nipeleke hata jirani kwenye barUnataka uniue na Bill?
Graduate mimi jamani
Hao wengine wapambane na hali zao,wewe Njoo na Mzee wa Emergency landing.
Nitakuleta nyumbani unywe,,
Mimi kukaa Club ni msala.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Selfie iko vizuri,Mbona aiseee arifu 😅💃
Football mlitoka ngapi?Netball tulifungwa 15 kwa 9 ila tukalipiza kwenye football
Wao Advance ni girls tupu na wanajua netball sio kitoto nasie advance ni boys tupu Vijana tunawapa mazoezi ya football kutosha so walau tulibalance ushungu!!😘
Yeah unavua tuSasa unadhani utafanyaje unavua tu
4-1Football mlitoka ngapi?
Kwa hio boys walicheza na girls football, kwa maana wao wana girls na nyie mna boys...
Pole jamani, ukapone na kuimarikaNaumwa bhna shostiyo... Tena haswaa.