Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Kwa hio 50 kwa 50, sasa ombeni na mechi walimu netball, uingie kati pale, hio mechi nitakopa hata nauli.No shule zote zina form 1-6! sisi advance ni boys tu wanakaa boarding na olevo ni mixa boys and girls ila day kwao Advance ni girls tupu na wanakaa boarding olevo mixa then
kwenye netball wao waliweka majembe yao ya advance olevo waliokoteza waliocheza na girls wetu wa olevo
Huku kwenye football boys wetu majembe mengi yalitoka advance olevo tuliokoteza pia kucheza na boys wao wa olevo!

