Natamani uelewe hili ni kundi lipi linazungumziwa hapa, vijana wengi wanaelewa zaidi, hapa sio mahusiano committed, hapa tayari ni ile hali ya kuviziana, kila mmoja anamuwahi mwenzie atakayechelewa tu inakula kwake, achana na hast generalization kwanza, utaona ni kundi kubwa ndio, lakini halibebi hatma ya kila mwanamake!
kuhusiana na utamaduni wa mahari hata sisi tumeukuta na hatuwezi kuupimga, maana ndio heshima yatu inapotafsiriwa, ni kama swala zima la ndoa wangapi hawaandikishani popote na hawafanyi sheehe lakini wanaishi izui tu mpaka mwisho! lakini kwa taratibu zilizowekwa inalazimu wengi wafanye hiyo na wala haina maana yoyote ndani ya ndoa!
swala zima la kuombana pesa linaletelezwa na hali ngumu ya maisha, vileile tamaa na pressue za mitandao! wanaume wenye pesa wana nafasi kubwa sana ya kupata wanawake wazuri kuliko wasio nazo, hiyo imefanya kwa kiasi kikubwa sana wanawake wengi kutamani wanayopewa wengine! mtu anaenda chuoni mwenzie anapaki defender nje, ana biashara mjini hawazi kodi etc.. ukijiangalia wewe unapata ka-bf hakana mwelekeo wowote mnateseka nako na watu wanawacheka! as a human being binti lazima ataangukia hili kundi, wachache sana wanatoboa hapa ni mpaka wawe na ego kama sisi! wale masikini jeuri! hii tabia inaanzia mbali inakomaa mpaka kufikia binti kuwa ombaomba haanzi leo, saa nyingine anaona mzazi wake yupo hivyo, au kwenye tamaa anapitia humohumo! wengine haujawahi kuona mama akiombaomba hata kwabahati mbaya amezoea kukomaa mwenyewe mpaka afikie lengo, tofauti na mabinti wengi anajifungia ndani anafuma mfumo wa kumuingizia pesa kwa style hiyo, akitoka hapo kaia hana cha kupoteza na hajali wala nini, anaanza kupiga simu kila kona anazozijua! swala l kuomba omba si jepesi kama unavyofikiria ni mfumo unatengeneka hapo..
kwa upande wangu nimesupport hili jambo, lakini sijabase kw wauzaji, unasema tusimuweke mwanaume, ila mpaka mwanaume anaombwa pesa inamana amekuja bila adabu! hii wewe unaniombaje sehemu za siri? hatuna mahusiano tumekutana hata lisaa halijatimia unategemea nitakutreat ipi? lazima tutaishia kukokomoana iwe nataka au sitaki!
Nini kifanyike? tulee ,mabinti zetu katika njia zitakazowafanya waone hil jambo sio la kawaida na inawezekana, ukiwa present father kwa mabinti zako, kuna waepushia mambo mengi ya kuanguka katika shimo hilo huku wakifikiri ndio ujanja au usasa, kumbe ni fedheha kwa jamii zisizokubaliana na hili jambo!
Kundi kubwa ni asilimia ngapi na dogo ni asilimia ngapi? Namba zako unazipata wapi? Hata kama huna namba, una justification gani?
Kusema utamaduni wa mahari hata wewe umeukuta na huwezi kuupinga ni "argument from tradition" logical fallacy.
Tamaduni nyingi mbaya watu wamezikuta na kuzipinga. Kulikuwa na utamaduni wa utumwa umepingwa, umeondolewa. Kulikuwa na utamaduni wa kutoruhusu wanawake kupiga kura, umepingwa, umeondolewa.
Kwa hiyo usijifiche kwenye chaka la utamaduni, that is a logical fallacy.
Kwenye kusema sana tatizo lilivyo bila kujipanga kulitatua, hii ni habari ya "admiring the problem".
Nilikuwa nasoma kitabu cha Samantha Powers, alikuwa National Security Adviser wa Obama na baadaye Balozi wa US at The United Nations. Aliandika maisha yake katika kitabu chake "The Edication of an Idealist : A Memoir".
Katika kitabu chake hicho anaelezea alivyokuwa anaingia serikalini, anataka kutatua matatizo. Lakini kila akitaka kutatua matatizo, anaambiwa hadithi nyingi za ukubwa wa tatizo, tatizo lilivyoanzia mbali, tatizo lilivyo kuwa limetapakaa.
Lakini yeye hakutaka ku admire the problem, alitaka ku solve the problem.
Umegusia mambo kuanzia mbali.
Sawa. Basi tuwafundishe binti zetu kujitegemea tangu wadogo, wasiwe madanga. Tuwajengee uwezo ili tusiwalaumu wakati wao ni victims wa societal norms.
Ukishabikia utamaduni wa kudanga, husaidii kuumaliza, unasaidia kuongeza tatizo.
So, naona hapa wengi tuna admire the problem kama alivyosema Samantha Powers, hatutaki hata kuanza kazi ya ku solve the problem.
This quote from Samantha Power, former U.S. Ambassador to the United Nations, struck us as the raison d’etre of Catalytic Thinking.
“We must resist the temptation to spend our time admiring the problem. Rather, we must urgently work for the world we seek.”