Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

My life is a movie and everybody is watching.

Nipo hapa kituo cha SGR Dom, watakaoshuka usiku huu watapata bahati ya kuniona live, warembo wote wanakaribishwa kuniomba chochote.

Waomba kumi wa kwanza, nitawapa ofa ya kuwapeleka Rainbow wakale kuku choma na brutals
Namimi nipo hapohapo nakuona na kipara chako kwa mbalii!
 
Alitakaje? Akome😄
Hili ndilo tatizo la sisi wanaume - ubinafsi. Unataka K na kila unayependa akupe K akupe bila yeye kufaidika. Ni muhimu kujua kuwa urafiki ni faida ya wote, siyo mmoja afaidi anachokitaka wakati mwenzake hafaidiki na huo urafiki. Katika urafiki, lazima kila mtu awe na expectations zake. Wewe Unataka K, yeye Pengine anategemea umtatulie matatizo yake yanayomkabili kama vile hela, ndoa, etc. Bila hivyo akupe kwa kukuonea huruma, ili iweje
 
Hili ndilo tatizo la sisi wanaume - ubinafsi. Unataka K na kila unayependa akupe K akupe bila yeye kufaidika. Ni muhimu kujua kuwa urafiki ni faida ya wote, siyo mmoja afaidi anachokitaka wakati mwenzake hafaidiki na huo urafiki. Katika urafiki, lazima kila mtu awe na expectations zake. Wewe Unataka K, yeye Pengine anategemea umtatulie matatizo yake yanayomkabili kama vile hela, ndoa, etc. Bila hivyo akupe kwa kukuonea huruma, ili iweje
Ndio hapo naposhindwa kuwaelewa wakopaji! hawezi kutambua kuwa hakuna mahala mtaenda na hakuna mwenye ratiba na mwenzie, yeye ni kuchovya tu kila atapojisikia, na hataki kuingia gharama zozote! kama hataki kuombwa atulize kiranga hakuna mtu kamshikia bastola!
 
Wanazoea vibaya hawa😂
Ndio maana yule m-russi alipowafikia alikua anawapiga tobo la nyuma tu ushawahi kupigwa tobo la nyuma nauliza ushawahi kucheza mpira ukibigwa tobo la nyuma si mnataka hela haya toa tobo la nyuma upate hela na wanatoa kweli wanatobolewa nyuma, wale wa-naijeria pale Palm Beach wanawafanya vibaya sana dada zako wapenda hela
 
Back
Top Bottom