Kila kitu kinafanywa kwa kiasi kikizidi ni harmfulNi haki yao kuomba sana hela kama yeye anavyoomba K zao. Bila kutaka K zao nao hawatakuomba pesa zako.
Kila kitu kinafanywa kwa kiasi kikizidi ni harmfulNi haki yao kuomba sana hela kama yeye anavyoomba K zao. Bila kutaka K zao nao hawatakuomba pesa zako.
Wanaona ni sifa na bahati nzuri wanaume wamezinduka ndio maana wanatumiwa na kuachwaOmba omba ya wanawake wa Tanzania kwani imeanza leo? Au mmefurahi na mzungu naye amebaini hilo! Kama mwanamke unamtongoza asubuhi, jioni tayari shida zimeanza mama amelazwa, gas imeisha, nywele zimechakaa, mafuta ya kupaka yameisha, ila wanawake hawajui tu, wanajishusha sana thamani zao
Hakuna kitu kama hicho. Kila mtu hupenda ku faidi urafiki. Mwache na K yake nawe akuache na hela yako. Kama huna hela, waite mashemeji tu. Acha wenye meno (hela zao) watafune. Msiwe mnapenda vya bure, bure gharama. Unapomuapproach mwanamke lazima uweke mezani chambo ili umnase huyo samaki. Bila chambo sahau mambo ya samakiKila kitu kinafanywa kwa kiasi kikizidi ni harmful
Hoja wala si yeye, hoja ni wanawake ombaomba.Kwanini yeye asitafute wa kwake mmoja atafune ila aombe kwa wanawake?
Ungekuwa una Binti ungemshauri kama hiviHakuna kitu kama hicho. Kila mtu hupenda ku faidi urafiki. Mache na K yake nawe akuache na hela yako. Kama huna hela, waite mashemeji tu. Acha wenye meno (hela zao) watafune. Msiwe mnapenda vya bure, bure gharama. Unapomuapproach mwanamke lazima uweke mezani chambo ili umnase huyo samaki. Bila chambo sahau mambo ya samaki
Mimi nawatetea kwasababu ya ujinga unaoendekezwa na wanaume wenyewe! Wangepunguza tamaa wala wasingekuwa na Sababu ya kuombana pesa!Hoja wala si yeye, hoja ni wanawake ombaomba.
Yeye hata asipokuwapo, hao wanawake kama ombaomba watakuwapo tu.
Sasa hapo ndipo swali langu linakuja.
Na wewe unatetea ujinga wa wanawake kuwa ombaomba?
Ingekuwa una Binti ungemshauri kama hiviHakuna kitu kama hicho. Kila mtu hupenda ku faidi urafiki. Mache na K yake nawe akuache na hela yako. Kama huna hela, waite mashemeji tu. Acha wenye meno (hela zao) watafune. Msiwe mnapenda vya bure, bure gharama. Unapomuapproach mwanamke lazima uweke mezani chambo ili umnase huyo samaki. Bila chambo sahau mambo ya samaki
Huyo mzungu kapata experience kupitia kwenye mahusiano ambayo amedate na wanawake wa kibongo ndio kaona hichoMimi nawatetea kwasababu ya ujinga unaoendekezwa na wanaume wenyewe! Wangepunguza tamaa wala wasingekuwa na Sababu ya kuombana pesa!
Angekuwa binti yako yako anatumika hovyo tu wahuni kwasababu hana sababu ya kuomba ungemshauri vipi? Kigezo cha pesa kinafukuza mbwa wengi na kinasaidia sana! Lasivyo wengine watapewa pesa, wewe utageuka chama la wana!Ingekuwa una Binti ungemshauri kama hivi
Hakuwa makini mwenyewe, alikutana na makurumbembe acha pesa zimtoke mi sioni shida yoyote! Kama alikuwa serious kutafuta patner wala asingepata wa aina hiyo, energy attracts!Huyo mzungu kapata experience kupitia kwenye mahusiano ambayo amedate na wanawake wa kibongo ndio kaona hicho
Mnaomba omba hela sana🤣Wanatuonaje labda. Loh
Kama unadhani tusioomba ndio tunaonekana tuna thamani, pole…. karibu kwenye ulimwengu wa kike ujifunze.Omba omba ya wanawake wa Tanzania kwani imeanza leo? Au mmefurahi na mzungu naye amebaini hilo! Kama mwanamke unamtongoza asubuhi, jioni tayari shida zimeanza mama amelazwa, gas imeisha, nywele zimechakaa, mafuta ya kupaka yameisha, ila wanawake hawajui tu, wanajishusha sana thamani zao
Hapana, hii ni hoja ya kujitetea tu.Mimi nawatetea kwasababu ya ujinga unaoendekezwa na wanaume wenyewe! Wangepunguza tamaa wala wasingekuwa na Sababu ya kuombana pesa!
Suala si kuonekana.Kama unadhani tusioomba ndio tunaonekana tuna thamani, pole…. karibu kwenye ulimwengu wa kike ujifunze.
Hiyo inaitwa matching energy!Kwamba wanaume hamjamuelewa Seran au hamtaki kumuelewa?
Mme-normalize umalaya, gharama za umalaya ndio hamzitaki.
Mwanaume anakutongoza asubuhi, jioni anataka kukulala, ila wewe ukimuwahi ukamwambia gesi imeisha sijui bibi kameza kiwembe gafla umegeuka omba omba yeye sio ombaomba.
Nyote ninyi ni omba omba mnatofautiana tu mnachoombana.
As a woman, naelewa 100% kwanini wanawake wana omba omba!
Ningekuwa Nina Binti nisinge mshauri ategemee wanaume kifedha ningemuwezesha kujitegemea binafsi ukishakuwa na uhuru wa kiuchumi huwezi kutumika lakini ukiwa dependency lazima utumike ovyo ovyoAngekuwa binti yako yako anatumika hovyo tu wahuni kwasababu hana sababu ya kuomba ungemshauri vipi? Kigezo cha oesa kinafukuza mbwa wnegi na kinasaidia sana! Lasivyo wengine watapewa pesa, wewe utageuka chama la wana!
Binti au mabinti? Kwanza kwanini aitoe K yake bila akili. Unajua madhara ya kutoa K? Hujui risks za binti kutoa K wewe. Kila siku mnaongelea masingle maza. Unajua prida jana kaongea ukweli wake? Wewe unataka akusaidie kumaliza uhanga wako, lakini hujui kuwa anaweza kupata mimba na akazaa kitoto kitakachosumbua siyo wewe bali binti na uzao wake wote. Ni haki yake kufika bei maana atakapoibeba wewe hutakuwa unaumia, atakapokuwa anachanika katika kuzaa, utakuwa pembeni tu. Ukimkimbia ndiye atalea kitoto. Ati wanadharaulika, acha hizo na nyie muache kuomba K. Akina Labella wakitukatalia hatuwaoni wabaya au wajinga bali wanacalculate risks. Ni kazi zetu kuhakikisha nao wanaona faida ya kutugea K zao. Acheni akili fupiUngekuwa una Binti ungemshauri kama hivi