Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

Kwa nini mada ya wanawake mnaona lazima kutaja wanaume?

Hatuwezi kuongelea wanawake tu bila ya kuingiza whataboutism ya wanaume?

Wanawake ni kivuli cha wanaume, hatuwezi kuwaongelea bila kutaja wanaume?

Wanawake ni dhaifu sana, lazima waishi kwa kupangiwa maisha na wanaume?

Wanawake wote wakikataa umalaya na habari za kutoa mbunye kwa pesa na mali, wanaume wataweza kufanya umalaya huo na wanawake hao?
Una-lock mjadala ujadiliwe kwa upande mmoja kwa kanuni zipi?

And how possible?
 
Akitajwa mwanamke lazima nimzungumzie mwanaume kwasababu tunajadili “uhusiano “ two way lane…. Kimoja kinasababisha kingine.

Hii ni jamii ambayo inafanya interaction, tabia ya kundi A inaathiri tabia ya kundi B na kinyume chake.

Sijui kuhusu whataboutism (would like to learn about it)

Kuhusu trauma dumping ningekupa mfano wa trauma dumping wanayofanya wanaume, but again utaniambia nafanya whataboutism! 😀

Niambie ni kwa namna gani katika mada tajwa mezani, naweza wajadili wanawake tu bila kutaja wanaume? Kila aliyefanya mjadala ambao una balance huko juu amefanya same thing, umeelewa nini kwenye hili..?
Sasa kwenye uhusiano wa wanawake na wanaume, wanawake hawawezi kupanga, wao wanapangiwa na wanaume tu? Wanawake ni dhaifu hivyo?

Whataboutism ni goal shifting. Hii ni mbinu mbaya sana ya kuepuka mada. Au pengine ni ujinga tu si mbinu mahsusi kuepuka mada.

Basically kwenye masuala haya mara nyingi huishia kuleta gender war badala ya ku address issues.

Mada imeletwa. Wanawake wa Tanzania ni ombaomba sana. Hii ndiyo mada.

Tuna nafasi ya kuangalia matatizo ya kiutamaduni, mfano, mwanamke anayeambiwa analipiwa mahari ili aolewe, na anakuta utamaduni huu tangu anazaliwa, naturally atajiona yeye ni kama commodity anapatikana kwa kulipiwa mahari, na psychologically ataona kuomba pesa ili atoe mbunye ni sawa. Ndiyo maana hata kwenye kuolewa analipiwa mahari. Kwa hiyo hapa kuna nafasi ya kubadili utamaduni wa kulipa mahari kwa mwanamke ili kuondoa hii dhana kwamba mwanamke ni bidhaa inayonunuliwa. Hiki ni tatizo la kijamii, si la mwanamke wala mwanamme. In fact linaumiza wanaume wengi wanaotaka kuoa lakini hawana mahari. In fact linaumiza wanawake wengi wanaoolewa na kuonekana kama bidhaa iliyonunukiwa kwa sababu wamelipiwa mahari. In fact kuna wanawake wapo katika ndoa zao kwa sababu wakitoka watatakiwa kurudisha mahari ambayo hawana tena ishatumika na familia zao.

Badala ya kuichambua mada, kidhahania, kifalsafa, wanawake wa Tanzania ni ombaomba sana, mnarukia kusema "What about wanaume, wanaume ni malaya wanahonga sana na wao ndio wanasababisha hili".

Lakini hiyo si mada. Inaonekana hilo la wanaume nalo ni kweli, lakini, hilo linaweza kuwa na mjadala tofauti. In fact ukikimbilia hilo la wanaune katika mada ya wanawake, kimsingi ni kama unawaondolea wanawake agency, unawafanya wanawake kuwa ni kama watoto wanapangiwa maisha na wanume tu, hawana usemi wao wenyewe, hawana maamuzi yao wenyewe, ni viumbe dhaifu.

Sasa, wanawake ni viumbe dhaifu hivyo?

On trauma dumping.

Kiutamaduni Tanzania wanaume hawaruhusiwi kufanya trauma dumping kwa sababu utamaduni wetu ni wa machismo. Mwanamme anatakiwa kuwa mtu imara anayepigana na dunia bila kulia wala kuonesha udhaifu. Anayelinda mwanamke wake na famikia.

Huyu mwanamme haruhusiwi kulialia, kuombaomba na kuonesha udhaifu kwa mwanamke wake. Na hii dhana ndiyo imejenga dhana ya kwamba mwanamme anatakiwa kutoa pesa kwa mwanamke na si mwanamke kwa mwanamme.

You are right ukiniambia wanamme pia wanafanya trauma dumping kwa wanawake nitakuambia ni whataboutism. Tena hiyo wala si whataboutism tu, hiyo ni disproportionate dichotomy, unalinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu kwa sababu vyote vina shape sawa bila kujali ukubwa.

Unaweza kutaja wanawake bila wanaume kwa sababu wanawake si kivuli cha wanaume. Si lazima kumtaja mwanamme ili kumzungumzia mwanamke.

Mfano, tukianzisha mada, "Je wanawake wanaweza kujitegemea? Unapoanza kumtaja mwanamme tu, unaondoka kwenye ku affirm maana hata mada kuiongelea bila kumtaja mwanamme umeshindwa.

Kwamba kila mtu hapo juu kataja mwanamme inawezekana ni udhaifu wa kufanya hoja za kidhahania (abstract thinking) katika jamii yetu. Na udhaifu unaweza kufanywa na wengi, hususan ukiwa ni wa kijamii au kiutamaduni. Tanzania tuna tatizo kwenye kufanya abstract thinking, tuna tatizo kwenye kupinga premise iliyowekwa tayari (mtu akianzisha kitu, kusema tofauti tunaona ni kumkosea heshima tunatafuta namna ya kukubaliana naye. Ndiyo maana hatabkwenye kura watu wanaambiwa wapige vipi.)

Tuna tatizo la kufanya argument from popularity logical fallacy, kuona kwamba kitu kikisemwa au kufanywa na wengi, basi ni lazima kitakuwa sawa tu. This is what you are doing.

No, kitu kinaweza kufanywa na wengi na pia kikawa cha kijinga, simply because jamii ina wajinga wengi.
 
Ila huu ni ukweli wanawake wa bongo na afrika kwa ujumla kwa vizinga ni balaa, halafu wajanja kwa timing. Birthdays na mashida kibao utadhani wewe bank, kitu anachoku offer sasa ni mbunye tu 😀 😀 😀 😀
Sasa hawa wanawake mmeshawakubalia kiutamaduni kwamba wao kuolewa ni lazima walipiwe mahari.

Yani mshawaambia kuwa wao ni bidhaa ya kuuzwa, inanunuliwa kwa mahari.

Mshawajengea saikolojia ya kujiuza. Imekubalika kabisa kiutamaduni na mnaisherehekea karibu wote.

Mnategemea nini?

Hawawezi kuondokana na mentality ya kujiuza na kudanga kama hamjaondoa utamaduni wa kulipa mahari.

Mahari zenyewe sasa.

Sikia figisu katika huu wimbo wa "Wajomba Wamechacha" wa Mbaraka Mwinshehe.


View: https://youtu.be/9cXNeJtZ6zM?si=Nx06sh6OaH5t9ipm
 
Kwamba wanaume hamjamuelewa Seran au hamtaki kumuelewa?

Mme-normalize umalaya, gharama za umalaya ndio hamzitaki.

Mwanaume anakutongoza asubuhi, jioni anataka kukulala, ila wewe ukimuwahi ukamwambia gesi imeisha sijui bibi kameza kiwembe gafla umegeuka omba omba yeye sio ombaomba.

Nyote ninyi ni omba omba mnatofautiana tu mnachoombana.

As a woman, naelewa 100% kwanini wanawake wana omba omba!
Kwenye mada hii inazungumzia omba omba kwenye mahusiano huyo mzungu ameona kuwa wanawake wa kibongo ni omba omba ni baada ya kuwa na mahusiano na hao wanawake wa bongo
 
Kuna wanawake wengi sana wanaomba bila mpangilio.

Mtu mnajuana leo tu, kesho anakutangazia shida zake zote, za mama yake, za familia nzima.

Hawa ni wengi sana usiwatetee.

Halafu, kama unamuona mtu anataka kuonja kila sehemu kwa nini usimkatae tu? Kwa nini umuombe pesa kwa sababu anaonja kika sehemu?

Wewe ni malaya mpaka utake kuwa na ntu anayetaka kuonja kila sehemu kwa kumdai pesa?

Kama mnakubali kuwa nyie ni malaya tukubaliane kabisa.
Preach pops, preach viva arsenal 🔥
 
Hapana, hii ni hoja ya kujitetea tu.

Kuna wanawake wengi wanaombaomba pesa kitabia tu, wanatuomba hata sisi wanaume tusio na tamaa nao.

Wanagutega.

Hawa huwezi kusema wanaomba kwa sababu ya tamaa ya wanaume.
Mwamba umenyoosha yaani ukishakuwa na rafiki wa kike huwezi kukwepa suala la kuombwa hela sana na unakuta pia ana bwana wake ila still akauki kukuomba ile haiba ya kike now days hawana
 
Mwamba umenyoosha yaani ukishakuwa na rafiki wa kike huwezi kukwepa suala la kuombwa hela sana na unakuta pia ana bwana wake ila still akauki kukuomba ile haiba ya kike now days hawana
Mtu unamjua leo unastukia birthday hapohapo kesho.

Mara mama anaumwa. Mara ada ya nani sijui. Mara kodi ya nyumba.

Wanaume wanageuzwa ATM.

For what? Hicho kitobo tu?
 
Huyo Hziyech22 hajitambui, ubinafsi tu. Wanaume Tuache kuwaonea mabinti
Ukishakuwa na njaa lazima utumike lakini mwanamke mwenye uhuru wa kiuchumi hawezi kutumika na hata kwenye Uchaguzi wake wa mwenza hawezi kuendeshwa na njaa ila kwa mwanamke ambaye mwenye njaa ili ale lazima uliwe una kuwa na tofauti ipi na yule mwanamke anayejiuza mitandaoni au barabarani?
 
Sasa kwenye ujusiano wa wanawake na wanaume, wanawake hawawezi kupanga, wao wanapangiwa na wanaume tu? Wanawake ni dhaifu hivyo?

Whataboutism ni goal shifting. Hii ni mbinu mbaya sana ya kuepuka mada. Au pengine ni ujinga tu si mbinu mahsusi kuepuka mada.

Basically kwenye masuala haya mara nyingi huishia kuketa gender war badala ya ku address issues.

Mada imeletwa. Wanawake wa Tanzania ni ombaomba sana. Hii ndiyo mada.

Tuna nafasi yavjuangakia matatizo ya kiutamaduni, mfano, mwanamke anayeambiwa analioiwa mahari iki aolewe, na anakuta utamaduni huu tangu anazakiwa, naturally atajiona yeye ni kama commodity anaoatikana kwa kulioiwa mahari, na psychologically ataona kuomba oesa iki atie mbunye ni sawa. Ndiyo maana hata kwenye kuolewa analipiwa mahari. Kwa hiyo hapa kuna nafasi ya kubadiki utamaduni wa kulioa mahafi kwa mwanamke ili kuondoa hii dhana kwamba mwanamke ni bidhaa inayonunukiwa. Hiki ni tatizo la kijamii, si la mwanamke wala mwanamme. In fact linaumjza wanaume wengi wanaotaka kuoa lakini hawana mahari. In fact linaumiza wanawake wengi wanaoolewa na kuonekana kama bidhaa iliyonunukiwa kwa sababu wamelipiwa mahari. In fact kuna wanawake wapo katika ndoa zao kwa sababu wakitoka watatakiwa jurudisha nahari ambayo hawana tena ishatumika na famikia zao.

Badala ya kuichambua mada, kidhahania, kifaksafa, wanawake wa Tanzania ni ombaomba sana, mnarukia kusema "What about wanaume, wanaume ni malaya wanahonga sana na wao ndio wanasababisha hili".

Lakini hiyo si mada. Inaonekana hilo la wanaume nalo ni kweli, lakini, hilo linaweza kuwa na mjadala tofauti. In fact ukikimbilia hilo la wanaune katika mada ya wanawake, kimsingi ni kama unawaondolea wanawake agency, unawafanya wanawake kuwa ni kama watoto wanapangiwa maisha na wanume tu, hawana usemi wao wenyewe, hawana maamuzi yao wenyewe, ni viumbe dhaifu.

Sasa, wanawake ni viumbe dhaifu hivyo?

On trauma dumping.

Kiutamaduni Tanzania wanaume hawaruhusiwi kufanya trauma dumping kwa sababu utamaduni wetu ni wa machismo. Mwanamme anatakiwa kuwa mtu imara anayepigana na dunia bila kulia wala kuonesha udhaifu. Anayelinda mwanamke wake na famikia.

Huyu mwanamme haruhusiwi kulialia, kuombaomba na kuonesha udhaifu kwa mwanamke wake. Na hii dhana ndiyo imejenga dhana ya kwamba mwanamme anatakiwa kutoa pesa kwa mwanamke na si mwanamke kwa mwanamme.

You are right ukiniambia wanamme pia wanafanya trauma dumping kwa wanawake nitakuambia ni whataboutism. Tena hiyo wala si whataboutism tu, hiyo ni disproportionate dichotomy, unalinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu kwa sababu vyote vina shape sawa bila kujali ukubwa.

Unaweza kutaja wanawake bila wanaume kwa sababu wanawake si kivuli cha wanaume. Si lazima kumtaja mwanamme ili kumzungumzia mwanamke.

Mfano, tukianzisha mada, "Je wanawake wanaweza kujitegemea? Unapoanza kumtaja mwanamme tu, unaondoka kwenye ku affirm maana hata mada kuiongelea bila kumtaja mwanamme umeshindwa.

Kwamba kila mtu hapo juu kataja mwanamme inawezekana ni udhaifu wa kufanya hoja za kidhahania (abstract thinking) katika jamii yetu. Na udhaifu unaweza kufanywa na wengi, hususan ukiwa ni wa kijamii au kiutamaduni. Tanzania tuna tatizo kwenye kufanya abstract thinking, tuna tatizo kwenye kupinga premise iliyowekwa tayari (mtu akianzisha kitu, kusema tofauti tunaona ni kumkosea heshima tunatafuta namna ya kukubaliana naye. Ndiyo maana hatabkwenye kura watu wanaambiwa wapige vipi.)

Tuna tatizo la kufanya argument from popularity logical fallacy, kuona kwamba kitu kikisemwa au kufanywa na wengi, basi ni lazima kitakuwa sawa tu. This is what you are doing.

No, kitu kinaweza kufanywa na wengi na pia kikawa cha kijinga, simply because jamii ina wajinga wengi.
Sawa,

Kinachoendelea kwenye jamii kwa mada tajwa ni matokeo ya mifumo ya kijamii, kitamaduni na kiuchumi na Uchaguzi binafsi.

Mtu anaweza kuwa na agency na bado akaathiriwa na mazingira yake (bado huoni sababu ya mimi kuleta “whataboutism”? Vitu viwili vinaweza kuwa kweli kwa wakati mmoja kwa muktadha huu.

Unaposema wanawake hawawezi kupanga wao wanapangiwa na wanaume tu? unataka kumuondoa binadamu wa kike kama product ya mfumo wa kijamii na kutaka afanye uchaguzi binafsi tu, this is too idealistic. Lini, wapi upande mmoja wa jamii uliwahi kuamua kubadili kitu na kikawezekana hasa kikihusisha mazoea yaliyojengeka kama tabia .

Ofcorse ulisema wanawake hatupingi umalaya sababu unatupa faida…. ungependa wanawake tupate hasara kwenye hili? 😀

Nimeona ni sahihi mimi kufanya whataboutism sababu nilikuwa na lengo la kukuonesha double standards ambayo wewe na wengine mmeifanya katika suala la wanawake kuitwa ombaomba.
 
Sawa,

Kinachoendelea kwenye jamii kwa mada tajwa ni matokeo ya mifumo ya kijamii, kitamaduni na kiuchumi na Uchaguzi binafsi.

Mtu anaweza kuwa na agency na bado akaathiriwa na mazingira yake (bado huoni sababu ya mimi kuleta “whataboutism”? Vitu viwili vinaweza kuwa kweli kwa wakati mmoja kwa muktadha huu.

Unaposema wanawake hawawezi kupanga wao wanapangiwa na wanaume tu? unataka kumuondoa binadamu wa kike kama product ya mfumo wa kijamii na kutaka afanye uchaguzi binafsi tu, this is too idealistic. Lini, wapi upande mmoja wa jamii uliwahi kuamua kubadili kitu na kikawezekana hasa kikihusisha mazoea yaliyojengeka kama tabia .

Ofcorse ulisema wanawake hatupingi umalaya sababu unatupa faida…. ungependa wanawake tupate hasara kwenye hili? 😀

Nimeona ni sahihi mimi kufanya whataboutism sababu nilikuwa na lengo la kukuonesha double standards ambayo wewe na wengine mmeifanya katika suala la wanawake kuitwa ombaomba.

Hiyo mifumo ndiyo nataka tuijadili na tuiondoe bila kujificha kwenye gender wars za kijinga.

Kwanza tuondoe mahari, mahari inaweka msingi wa kumfanya mwanamke awe bidhaa, ajione yeye ni bidhaa ya kujiuza. Aonekane anamilikiwa. Aonewe.

Pia, kuna ujinga fulani wa kuona mwanamke kujiuza, kuuzwa ni kumpa uhuru mwanamke, kumpa nguvu. Huu ni ujinga tu. Ni ujinga unaoendeshwa na tamaa, umalaya na ubinafsi.

Zaidi.

Kwani mwanamke hawezi kupata faida bila kufanya umalaya?

Is this your position?
 
Yeye huyo anafikiri kila binti angekuwa na uwezo wa kujitegemea, angezipata K za bure? Na zinazozagaa zagaa?
Kwanza lazima uwelewe sio wanaume ni sawa ila Kuna baadhi ya vitu tunashabiana same to them sio kila mwanaume anakuja kwako ili ale mzigo asepe ngoja nikupe mfano halisia ambao nimekutana nayo Kuna manzi nilikuwa nae karibu tukawa marafiki then nikamtongoza akakubali niwe mpenzi wake hapo hatujakutana face to face tunajuana kupitia picha akawa Kuna baadhi ya mahitaji yake ananiomba me nikawa namgaia vizuri Kama vocha, kula na bill wakati anumwa Sasa tukapanga appointment baada ya mwezi kupita ya kuonana kwa mara ya Kwanza tukapanga siku na muda wenyewe ikafika siku yenyewe nimefika sehemu ya tukio manzi bado hajatokea nikamcheki akaniambia eti ndio ANAAMKA? Nikasema ebu niweke benefit of doubt nisimuhukumu moja kwa moja nikasema ebu nimsubirie kidogo akanipigia simu akaniomba nimtumie nauli mind you anapokaa na sehemu ya kukutania ni karibu sana lakini akaniomba nauli Mimi nikamjibu wewe njoo kwa nauli yako ukifika me nitalipa au Mimi nakurequestia bolt akanijibu eti ni RISK yeye kuja anaogopa na Hilo la kulipa bolt juu kwa juu kakataa anataka nimtumie yeye kama yeye ndugu Seran binti kiziwi mna maoni gani kwenye hili? Maana mnaonaga kama vile tunawaonea Kiranga amesha address hili mmeshindwa kumuelewa
 
Kwenye mada hii inazungumzia omba omba kwenye mahusiano huyo mzungu ameona kuwa wanawake wa kibongo ni omba omba ni baada ya kuwa na mahusiano na hao wanawake wa bongo
Case ya mzungu ni tofauti na ninaweza kuitetea, huku kwetu kuna kasumba mbaya ambayo sijui ilitokana na nini, mtu akimuona mzungu wazo default ni kuwa ameleta msaada au ana hela za bure. As woman i’m very much ashamed na alikutana nacho huyo mzungu.

Jibu langu halikuwa kuhusu mzungu, jibu langu lilikuwa nimekuta mjadala uko katikati, nikasoma comments zote nikauliza hamjamuelewa Seran anachosema? Anasema hivi, kwasababu hii na hii….

Kama jamii tumelifanya suala la sex kuwa kawaida sana, nakutana na wewe unaniaomba sex saa nane, nikiamua kukupa jioni nikaanza kukuomba omba pesa kwanini unione waaajabu?
 
Ukishakuwa na njaa lazima utumike lakini mwanamke mwenye uhuru wa kiuchumi hawezi kutumika na hata kwenye Uchaguzi wake wa mwenza hawezi kuendeshwa na njaa ila kwa mwanamke ambaye mwenye njaa ili ale lazima uliwe una kuwa na tofauti ipi na yule mwanamke anayejiuza mitandaoni au barabarani?
Nafikiri najadiliana na wrong person. Twende taratibu, kwani ni mara ngapi msichana amekuapproach kuwa anahitaji kukazwa? Naamini ni machangu wanaojipanga barabarani tu nao si kwa ajili ya uhanga bali njaa unayopiga vita, ya fedha. Kwa hiyo, ni sisi tunaowaendea, tusipowaendea, hakuna mtu atakuletea njaa zake.

Hivi unajua kwa siku msichana anaweza kuwa approached hata zaidi ya mara ishirini kwa siku. Au kuombwa namba? Msukuma mkokoteni, yumo; Bodaboda yomo; Watchman yumo; Mhudumu yumo; meneja yumo; Padre naye yumo; Katekista haachwi mbali hta sisi wazee tumo etc. Hapa tuombe mtu kama Seran atuelezee hali ilivyo.

Na je, kila mwanaume anayemuomba akimkubalia itakuwaje? Wakati mwingine ni muhari yeye kuweka vigezo vya atakayemkubalia. Jinsi ya kuengua hao wanaomuomba K, ni pamoja na kukujionesha ana njaa kali ili utimke.

Je ni mara ngapi ume approach wanawake ili wakupe K. Jibu litakuwa ni wengi. Ukiapproach mwanamke ukaona hauendani, si unaachia ngazi tu. Unamuacha aende zake. Sasa tatizo lipo wapi?

Kitu wengi hatukubali ni kuwa mdomo unaongea (kutongoza) na pesa huongea pia. Hivyo inategemea una mdomo mtamu vipi ili uimangue K ya mtu au una hela kiasi gani ufaidi matunda ya nchi hii
 
Ukishakuwa na njaa lazima utumike lakini mwanamke mwenye uhuru wa kiuchumi hawezi kutumika na hata kwenye Uchaguzi wake wa mwenza hawezi kuendeshwa na njaa ila kwa mwanamke ambaye mwenye njaa ili ale lazima uliwe una kuwa na tofauti ipi na yule mwanamke anayejiuza mitandaoni au barabarani?
Ujinga wa wanawake wengi wa Africa, hata wengine hawa wanaojiita Wafeminia (feminists) ni huu.

Wanaona ujanja nibkuachiwa wadange, wawe ombaomba kwa wanaume.

Badala ya kuona ujanja ni kujenga uwezo wa kujitafutia wenyewe bila kutegemea wanaume.

Ujinga huu nauona hata hapa.

Yani wanataka kuhalalisha umalaya, kudanga, kujiuza, na hapo hapo wanataka kuheshimiwa kama wanawake.

Ukishataka kuuza mbunye wewe ni malaya tu ushauza utu wako kubali kuwa kiumbe dhaifu tu.
 
Ila huu ni ukweli wanawake wa bongo na afrika kwa ujumla kwa vizinga ni balaa, halafu wajanja kwa timing. Birthdays na mashida kibao utadhani wewe bank, kitu anachoku offer sasa ni mbunye tu 😀 😀 😀 😀
Wanawake wanamaanisha ukitaka mbunye utoe hela sababu umewaomba wakupe. Ni mabadirishano ya pesa na mbunye sasa sijajua na mwanamke akimtaka mwanaume ampe pesa pia.So, ni biashara ileile tu kwa kifupi...wengine wameamua kuifanya iwe biashara yao halali kwao na wengine basi wanaifanya kwa mgongo wa mwanaume ndo mtoaji. kama ingekuwa wakati wa barter trade basi tungekuwa tunabadirishana Mbunye kwa chumvi au mbunye kwa vinyago, mbunye kwa shanga au kioo.
 
Kwanza lazima uwelewe sio wanaume ni sawa ila Kuna baadhi ya vitu tunashabiana same to them sio kila mwanaume anakuja kwako ili ale mzigo asepe ngoja nikupe mfano halisia ambao nimekutana nayo Kuna manzi nilikuwa nae karibu tukawa marafiki then nikamtongoza akakubali niwe mpenzi wake hapo hatujakutana face to face tunajuana kupitia picha akawa Kuna baadhi ya mahitaji yake ananiomba me nikawa namgaia vizuri Kama vocha, kula na bill wakati anumwa Sasa tukapanga appointment baada ya mwezi kupita ya kuonana kwa mara ya Kwanza tukapanga siku na muda wenyewe ikafika siku yenyewe nimefika sehemu ya tukio manzi bado hajatokea nikamcheki akaniambia eti ndio ANAAMKA? Nikasema ebu niweke benefit of doubt nisimuhukumu moja kwa moja nikasema ebu nimsubirie kidogo akanipigia simu akaniomba nimtumie nauli mind you anapokaa na sehemu ya kukutania ni karibu sana lakini akaniomba nauli Mimi nikamjibu wewe njoo kwa nauli yako ukifika me nitalipa au Mimi nakurequestia bolt akanijibu eti ni RISK yeye kuja anaogopa na Hilo la kulipa bolt juu kwa juu kakataa anataka nimtumie yeye kama yeye ndugu Seran binti kiziwi mna maoni gani kwenye hili? Maana mnaonaga kama vile tunawaonea
Akufukuzaye hakuambii toka. Akili mkichwa
 
Hiyo mifumo ndiyo nataka tuijadili na tuiondoe bila kujificha kwenye gender wars za kijinga.

Kwanza tuondoe mahari, mahari inaweka msingi wa kumfanya mwanamke awe bidhaa, ajione yeye ni bidhaa ya kujiuza. Aonekane anamilikiwa. Aonewe.

Pia, kuna ujinga fulani wa kuona mwanamke kujiuza, kuuzwa ni kumpa uhuru mwanamke, kumpa nguvu. Huu ni ujinga tu. Ni ujinga unaoendeshwa na tamaa, umalaya na ubinafsi.

Zaidi.

Kwani mwanamke hawezi kupata faida bila kufanya umalaya?

Is this your position?
Sio kuhusu mimi…. kuhusu jamii collectively! Wanawake hawapati faida kwenye kufanyishwa ngono bila kuomba cha ziada, unfortunately.

Tukiijadili hiyo mifumo tutaiondoa? sisi kama wana JF..!?
 
Wanawake wanamaanisha ukitaka mbunye utoe hela sababu umewaomba wakupe. Ni mabadirishano ya pesa na mbunye sasa sijajua na mwanamke akimtaka mwanaume ampe pesa pia.So, ni biashara ileile tu kwa kifupi...wengine wameamua kuifanya iwe biashara yao halali kwao na wengine basi wanaifanya kwa mgongo wa mwanaume ndo mtoaji. kama ingekuwa wakati wa barter trade basi tungekuwa tunabadirishana Mbunye kwa chumvi au mbunye kwa vinyago, mbunye kwa shanga au kioo.
Kuna siku niliwatolea mfano hapa, nikawaambia waulizeni wanaotembea na mashugamami/mishangazi kama hawalipwi…!

Tumefikaje katika mabadilishano ya sehemu za siri na pesa ndio unapaswa kuwa mjadala wa msingi.
 
Back
Top Bottom