Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

Katika mahojiano yake na wasafi MZUNGU huyo ameoneshwa kukerwa na tabia ya mademu wa bongo kuomba omba hela, MZUNGU huyo amedai ni OMBA OMBA sana, katika kipindi CHA wasafi the switch, akiwa na Aaliyah na mchaga og.
Unaweza kudhani ni walemavu, mtaani wanashindana wao kwa wao , anayehongwa Sana anaonekana bingwa
 
Kila mtu ata hanganyikiwa kwa wakati wake
My life is a movie and everybody is watching.

Nipo hapa kituo cha SGR Dom, watakaoshuka usiku huu watapata bahati ya kuniona live, warembo wote wanakaribishwa kuniomba chochote.

Waomba kumi wa kwanza, nitawapa ofa ya kuwapeleka Rainbow wakale kuku choma na brutals
 
Back
Top Bottom