Safi napenda wasichana bold kama nyie. Starehe gharama ujue; kama huna hiyo fedha, punyeto inakutosha ila ukitaka cha mtu lazima ukigharamie. PeriodKwamba wanaume hamjamuelewa Seran au hamtaki kumuelewa?
Mme-normalize umalaya, gharama za umalaya ndio hamzitaki.
Mwanaume anakutongoza asubuhi, jioni anataka kukulala, ila wewe ukimuwahi ukamwambia gesi imeisha sijui bibi kameza kiwembe gafla umegeuka omba omba yeye sio ombaomba.
Nyote ninyi ni omba omba mnatofautiana tu mnachoombana.
As a woman, naelewa 100% kwanini wanawake wana omba omba!