‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Kwa jina la yesu hackers mgande vidole viwe barafu kabisa
 
Naomba mashambulizi yawe na ukubwa maana maadui zetu watumapo yao huwa wamejipanga haswaaaaa.Nina imani na wanausalama wa JF.Lakini mashambulizi yawe ya kisasa zaidi.
 
Naona kimya,au ndo JF imeshinda mashambulizi?
All in all,Tunaiombea JF iendelee kuwepo,Kwa inasaidia kuondoa upweke na msongo wa mawazo hasa kipindi hiki jamaa anavyobana kila kona.
 
Any attack inakuwa analysed mkuu wangu.

Previous attacks zote zilikuwa recorded na tunajua walifanya nini.

This time around tumealika nguli kadhaa ambao ni advanced kwenye mashambulizi ya kila namna na tunafanya hivi kwa lengo la kujihakiki wenyewe.

Asante
Barikiwa saaaaana
 
kaka nakukumbusha pia utuondolee mfumo wa kuonyesha ID zetu hapa kwa chini! tukiwa tunaperuz inakuwa shida mbele za kadamnasi itatufanya tukamatwe
 
Ikiwezekana hiyo mashambulio yashindwe kabisa au jf iwe kidedea katika mashambulizi, imenifunza mengi sana tangu nilipoijua kuburudisha kuelimika na kunifanya niione mbaali sana katikavulimwengu wa fursa
 
Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.

Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo ili kuiangusha na kuiondoa hewani.

Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.

NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.

UPDATE:
Yamefanyika majaribio kadhaa ya awali na JF imefanikiwa kuyashinda. Zoezi litarudiwa baada ya siku 30.

Tunawashukuru kwa uelewa na ushirikiano
Safi, mko vizuri, idumu JF.
Melo, nashauri Jamii media ianzishe chuo. Kwa standard na integrity mliyoiweka hapa, hakika wateja tutakuwa wengi.
 
We have survived the first tests. Zoezi litarudiwa baada ya mwezi mmoja
Hongera Melo. Ila ili kunogesha na kupata uhakika na majaribio yenu safari ijayo yaani baada ya huo mwezi mmoja waambie maadui wa JF ndiyo washushe mvua ya mashambulizi badala ya kuyafanya wenyewe.
 
Kwenye app? Browser?

Kuna kitu gani kibaya mnafanya JF kinachoweza pelekea ukamatwe?
Japo wengi wa members tuliopo JF hakuna kibaya tunachokifanya ila nafikiri hiyo hoja ya mchangiaji ina mantiki. Maana akina Musiba wa Misiba wapo wengi mtaani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom