‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
NYONGEZA: Tovuti inaweza kuwa inafunguka kwa ugumu kiasi kwakuwa mashambulizi yanafanywa kwa kutokea nchi tatu tofauti kwa kutumia mbinu tofauti.

Tunaomba uvumilivu kwa ambao wataona JF inachelewa kufunguka

ah wapi sisi haifunguki kwa ugumu mbona?😊😊..
 
Hapana, wamealikwa wataalam toka mataifa kadhaa wenye utaalam anuai na wanafanya hivyo tukiwa tunaangalia (monitor) kinachoendelea na kudhibiti kila panaponekana kuwa panaweza kuwa na ufa.

Asante
nahis na hubby mnaye huko😊😊!hv hayo mashambulizi mnashindwa kuyaelekeza kwenye data za ofisi kuu ya ccm jaman?mnashindwa nn kuunga juhudi zetu sie wa nje huku tuwapopoe hawa mapopoma?
khaaa!
 
Pole. Wewe kama huduma huoni ikiwa slow, endelea kuitumia. Kuna ambao wanaweza pata ugumu ndo ambao tunawafahamisha watambue ni scheduled thing

Au mwambie kigerejigereji kuwa hiyo ni PM na kama ni ki Hospital basi tuiite ni booster vaccination na kiofisiofisini basi ni sawa na kwenda likizo kijijini "KU RENEW"
 
Au mwambie mnafanya P M


Au mwambie kigerejigereji kuwa hiyo ni PM na kama ni ki Hospital basi tuiite ni booster vaccination na kiofisiofisini basi ni sawa na kwenda likizo kijijini "KU RENEW"
😂😂😂
 
NYONGEZA: Tovuti inaweza kuwa inafunguka kwa ugumu kiasi kwakuwa mashambulizi yanafanywa kwa kutokea nchi tatu tofauti kwa kutumia mbinu tofauti.

Tunaomba uvumilivu kwa ambao wataona JF inachelewa kufunguka
Kila la kheri mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom