‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
.......nko njeee ya +3 east time zone......mechungulia sanaaaa.....HACKERS wameshindwaaaaa.....au virusi vilikuwa DHAIFUUUU.....

MELO I like your views on regular maintenance. Kiuhalisia kwa Tanzania ni taasisi chache sanaaa Zinazofanya maintenance, TCRA kwa hili nategemea watatoa mwongozo wa taasisi zote kufwata njiaaa.... BIG up Brother
 
Any attack inakuwa analysed mkuu wangu.

Previous attacks zote zilikuwa recorded na tunajua walifanya nini.

This time around tumealika nguli kadhaa ambao ni advanced kwenye mashambulizi ya kila namna na tunafanya hivi kwa lengo la kujihakiki wenyewe.

Asante

Sawa mkuu. Tuendelee kuimarisha ngome.
 
Melo sina nia ya kukukatisha tamaa najua unajua unachofanya ila zoezi hili kama halitasaidia sana siku za mbele.

Maadui wa JF (mfano wale walioiblock April 2018) wana vitendea kazi na knowledge ya kutosha, siku yoyote watakayoona kuna ulazima wa kuiblock JF kwa mashambulizi wanaweza kufanya hivyo.

Njia pekee na ya UHAKIKA kujilinda nao ni kwa nyie kuwatumia hao hao wanaowapa maadui zenu hivyo vitendea kazi na knowledge ili wawape counter-measures ili siku ya siku muwashangaze! Ukihitaji niambie nitakwambia wapi pa kuwapata.

Bila hivyo naona mtaweza tu kuresist mashambulizi ya wadukuzi binafsi ambao sidhani kama wana muda sana na JF (labda kuitumia kwa mazoezi) lakini siyo ya watu wasiojulikana.

Tupo pamoja lakini.

Watajuaje kuwa wewe sio wale wale? wee kama una akiba adimu watupie JF bila masharti yoyote nao wata test na wakiona ni safi watakushukuru
 
UPDATE:

Yamefanyika majaribio kadhaa ya awali na JF imefanikiwa kuyashinda. Zoezi litarudiwa Disemba 8, 2018.

Tunawashukuru kwa uelewa na ushirikiano
Wakuu,

Leo ndio ile Disemba 8, 2018 na tangu asubuhi kuna mashambulizi kadhaa kuilenga miundombinu ya JF katika kutathmini uimara wake dhidi ya mashambulizi yoyote yenye kuelekeana na haya.

Hatukuwaarifu mapema lakini tunaomba ikitokea kasoro yoyote ikitokea msishtuke mtambue tunaangalia na tutarekebisha kasoro yoyote itakayobainika.

Hadi sasa tupo vizuri!

Asanteni
 
Wakuu,

Leo ndio ile Disemba 8, 2018 na tangu asubuhi kuna mashambulizi kadhaa kuilenga miundombinu ya JF katika kutathmini uimara wake dhidi ya mashambulizi yoyote yenye kuelekeana na haya.

Hatukuwaarifu mapema lakini tunaomba ikitokea kasoro yoyote ikitokea msishtuke mtambue tunaangalia na tutarekebisha kasoro yoyote itakayobainika.

Hadi sasa tupo vizuri!

Asanteni
Chapeni kazi wakuu ! tupo Pamoja boss
 
Wakuu,

Leo ndio ile Disemba 8, 2018 na tangu asubuhi kuna mashambulizi kadhaa kuilenga miundombinu ya JF katika kutathmini uimara wake dhidi ya mashambulizi yoyote yenye kuelekeana na haya.

Hatukuwaarifu mapema lakini tunaomba ikitokea kasoro yoyote ikitokea msishtuke mtambue tunaangalia na tutarekebisha kasoro yoyote itakayobainika.

Hadi sasa tupo vizuri!

Asanteni

hayo Majaribio ya mashambulizi mnajifanyia wenyewe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom