aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 761
- 841
Nasubiri nijionee
DohMkuu Max, hawa hawatuwezi ni wajinga.
Tutapambana nao vilivyo kulinda heshima ya JF.
Yaani kamati ya ufundi imekesha usiku kucha, kila wakija wanakutana na msemo kwenye ujumbe usemao, "back off"
Usicheze na JF.
Aisee
Kwa kweli acha nishangae tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaweza kusaidia kufanya hayo mashambulizi?
Teja wa mapenziiiTeja wa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mngefanya kesho wakuu Leo mi nipo kijiji ikitoweka nitakua mpweke sana.
Teja wa mapenziii
Utashangaa sana mwaka huu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. DaahAisee
Kwa kweli acha nishangae tu
Umefurahi mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Daah
Bila shaka kila kitu kitakua salamq. [emoji111]Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.
Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo (takribani saa 5) ili kuiangusha na kuiondoa hewani.
Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.
NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.
Ooh nialiken na mm mkuuMkuu,
Nina hakika huenda usishtukie kuwa hata attacks zimeisha. Ila nilichoweka ni tahadhari ili mkiona iko slow msishtuke.
Tunajiamini kuwa tupo sawa, ila tumealika attackers ili tujiridhishe na uimara wetu. Kasoro zitakazobainika zitafanyiwa kazi haraka