Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,307
- 40,107
Wewe ni jiriti sinka ?Great thinkers wachache sana humu. Ukitaka kuamini pitia comments zote za huu uzi, kuna watu hawajaelewa wanacomment out of topic[emoji23][emoji23]
Wewe ni jiriti sinka ?Great thinkers wachache sana humu. Ukitaka kuamini pitia comments zote za huu uzi, kuna watu hawajaelewa wanacomment out of topic[emoji23][emoji23]
Mmh! Mimi je?Niko poa
Kukumiss tu
Wewe ni jiriti sinka ?
Hilo nalo nenoMmh! Mimi je?
Wewe acha tu, sema tutakutana maeneo mengine tupige stori nyingi zaidi tukianza hapa hatukawii kuharibu Uzi wa mkuu....
Shambulia mke wako nduguVipi mnaturuhusu hata watu ambao hatuko kwenye uo mpango kufanya mashambulizi?????????
Na we ni kampuni moja na mello au dundo tu.....Shambulia mke wako ndugu
Ya huku yaache haya baba
Nakuonea huruma
Ikikaa kitaalam ndo itaeleweka kwa mwananchi wa kawaida?
Te tee kweli umebwarataMngepanga usiku wa manane hilo tukio, mida ya kazi hiyo hasa jukwaa la kubeti na weekend hii mtatukosesha hela
Any attack inakuwa analysed mkuu wangu.
Previous attacks zote zilikuwa recorded na tunajua walifanya nini.
This time around tumealika nguli kadhaa ambao ni advanced kwenye mashambulizi ya kila namna na tunafanya hivi kwa lengo la kujihakiki wenyewe.
Asante
Hahahaaaa,,,,sinibwalate golokoTe tee kweli umebwarata
Nlkua nataniaNa we ni kampuni moja na mello au dundo tu.....
Maaanaa kuna kitu nataka nkuambie ila naona mawili aidha umelewa au una tatizo kidogo kwenye medula...
Au ni miongon mwa usioelewa lengo la hii kitu nin?
Now I know who a you.Hahahaaaa,,,,sinibwalate goloko
Pamoja jasusiNow I know who a you.
Nitafute pembeni, hakika nitaangalia how we can work togetherBrother na mie mngenipa hata kuandaa mazingira ya kazi, au hata kuandika report... vyuma vimekazaa.... maana najua kuchambua taarifa vizuri.... nimepiga sana na eLearnSecurity .... kwenye testing za network na web.... ilaaa 🙄🙄🙄
Hahahahaha wewe jamaa bana nimecheka sana. We ni mteja wa Melo kwa kutumia huduma yake ya JF, kupitia wewe ndio anaingiza pesa usipokuja haingizi pesa, so yeye anakutambua kama mteja wake. He is correct.