Uko sahihi wanataka waonekane wako wengi na wana nguvu, lkn group bila kiongozi wa kikundi ni kazi bure.Najiuliza hao group ya Magufuli wanakuwa wanataka nini kwa sasa???? Maana mtu wao sio tu kwamba hayupo serikalini bali ameshafariki sasa wanachotaka nini?
Nachokiona hao wanaojiita Magufuli group itakuwa wanataka kutumia jina kwa manufaa yao maana wamegundua they are about to become irrelevant kabisa sasa the only way to survive ni kujifanya wanatetea mtu ambaye hayupo 🤷🤷🤷🤷
Kumbe midemko bado yaendelea?Spika wa Bunge Job Ndugai amemuagiza Katibu wa wabunge wa CCM Jasson Rweikiza kuitisha kikao cha kamati ya wabunge wa CCM (party caucus) kwasababu ndio mahali wanaweza kudhibitiana..
Asipojirekebisha na kutubu hatà yeye (Ndugai) atakufa kama alivyokufa mwenzake kama suluhu ya matatizo ya nchi hii...Kila kilichokuja kiharamu kitaondoka.Ni suala la muda tu.Sioni mama akifika mbali na hili bunge la ajabu!Na linajimaliza lenyewe,na iwe hivyo haraka iwezekanavyo ili wasitucheleweshe kufanya reforms za msingi kwenye nchi yetu. Hatuna mda wa kukimbizana kidali po na watoto.Waende nje wakamalizie michezo yao kwanza.
Unaleta habari ya upotoshaji inakusaidia nini? Sawa kuna makundi haya wewe inakusaidia nini?
His legacy will be forever there, ndio tatizo hapo.JPM is dead and gone
Sababu za kupoteza sifa za kuwa raisi zipo wazi kwenye katiba.Akivunja bunge maana yake hata yeye anapoteza sifa za kuendelea kuwa Rais...
Legacy haina tatizo lolote, tatizo ni waliopo kunufaisha matumbo kwa kisingizio cha legacy.His legacy will be forever there, ndio tatizo hapo.
Nani uyo anaimba huo wimboLegacy haina tatizo lolote, tatizo ni waliopo kunufaisha matumbo kwa kisingizio cha legacy.
Kuna mwizi huko saa hii anaimba wimbo wa legacy ili CAG asichunguze wizi wake na kuuweka wazi.
Kumtaja kwa sasa haiwezekani.Nani uyo anaimba huo wimbo
kweli.Waache wamalizane wenyewe kenge hao si walitaka bunge la chama kimoja? Waendelee na ushetani wao.
Well advanced "UNAFIK" uliopindukia! = "UZANDIK"Spika wa Bunge Job Ndugai amemuagiza Katibu wa wabunge wa CCM Jasson Rweikiza kuitisha kikao cha kamati ya wabunge wa CCM (party caucus) kwasababu ndio mahali wanaweza kudhibitiana.
Ndugai ameyasema hayo leo Jumatatu baada ya Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Lucy Mayenga kudai kuwa kuna kundi la wabunge wa chama hicho ambalo linamsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kudhoofisha alama zilizoachwa na Hayati Rais John Magufuli.