Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Huyu KADEMKA kwa kinyume chake jamani !!!Mbunge wa viti Maalum Lucy Mayenga amedai leo Bungeni kuwa kuna kundi la wabunge wengi ambao wanamepanga kuhujumu legacy ya Magufuli na kutaka kutenganisha Urais wa Samia na urais wa Magufuli
Amedai wabunge hao wanamsifia Samia Suluhu kwa lengo la kuonyesha kuwa Maguuli alikuwa akifanya vibaya na tangu awali wanafahamika kuwa walikuwa wakimpinga Magufuli.
Ameongezea watu hao kuwa wanamchonganisha Samia na watu wa Magufuli ambao alikuwa amewapanga na mikakati yao wanaijua
Zaidi unaweza kumsikiliza hapa
Leo nimekutana na kijana mmoja hivi mitaa ya Surrender Bridge ana ubao umendikwa kwa chaki
Inaonekana kuna kundi linalazimisha LEGACY ya marehemu ambayo ni mbaya tu hata iweje haitengenezeki ...
1. WASIOJULIKANA
2. UBAGUZI WA KISIASA
3. UNUNUZI WA WAPINZANI (MADIWANI & WABUNGE KWA FEDHA ZA WALIPA KODI)
4. UKABILA
5. UNUNUZI WA NDEGE KWA CASH
6. UCHUMI WA KATI BILA YA AJIRA
7. UPORAJI WA PESA ZA WATU (BUREAU DE CHANGE)
8. UBAMBIKIAJI KESI
9. UUWAJI (KUPIGWA RISASI LISSU)
10. MIAKA MI'5 BILA YA AJIRA
11 ... to name the less jamani ni mengi jamani LEGACY haitengenezeki tena nimengi mabaya kuliko mazuri