Uko sahihi wanataka waonekane wako wengi na wana nguvu, lkn group bila kiongozi wa kikundi ni kazi bure.Najiuliza hao group ya Magufuli wanakuwa wanataka nini kwa sasa???? Maana mtu wao sio tu kwamba hayupo serikalini bali ameshafariki sasa wanachotaka nini?
Nachokiona hao wanaojiita Magufuli group itakuwa wanataka kutumia jina kwa manufaa yao maana wamegundua they are about to become irrelevant kabisa sasa the only way to survive ni kujifanya wanatetea mtu ambaye hayupo 🤷🤷🤷🤷