johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,786
E jambo jema!
MadagascarHa ha ha! Hii picha imenikumbusha mbali. Aliyetoka jalalani akinywa dawa ya Covid waliyoagiza kutoka wapi vile?
nawaangalia nani watamtupia matatizo yao sasa hivSasa hivi CCM haina kwa kufichia matatizo yao... wabunge wa upinzani walikuwa wanafichia Sana udhaifu wao.
Wangeweza kuwaanzishia zogo wabunge wa upinzani, halafu Spika angemtoa nje Lema ama kumfungia vikao hapohapo upepo ungebadikika.
Wakimalizana na upinzani watapingana wao kwa wao. Ukiona watu wawili wanapata kwa kila kitu ujue mmoja anafikiri na mwingine amepumzisha akili yake. Hutegemei wabunge wote wafikiri kwa namna moja muda wote. Shida inakuja pale unapopambanisha mwendazake na aliyeachiwa kijiti.Baba amekufa!
Nyumba na urithi kaachiwa bi mdogo tena kutoka mbali!
Ina maana hao wabunge hawakuelewa jana alivyosema yeye na Magufuli ni kitu kimoja? wana vichwa vizito sana.
Hii inathibitisha Ndugai ni kiongozi dhaifu wa bunge, ameshindwa kurekebisha hali kwasababu nae anaingia kwenye kundi mojawapo kati ya hayo, dawa ni kulivunja hilo bunge tu.
Wewe kwann unafikiri Raia amekemea huo Upuuzi unaondelea Bungeni? Kwa hiyo na Rais naye amepotosha?Unaleta habari ya upotoshaji inakusaidia nini? Sawa kuna makundi haya wewe inakusaidia nini?
Kwa sasa ni kambi ya Samia na Ndugai .....!!!Ya Magufuli
Ya nini kujichumia dhambi wakati wanajimaliza wenyewe kiuongozi na kisiasa!Nenda kamwage sumu ili wafe wote, roho yako ifurahi zaidi. Maana unakiu ya damu.