Sasa hiyo kesi ya bilion 20 aligungulia wapi?? Matapeli wa ardhi yamejaa kibao. Yanachukua ardhi za maskini halafu yanahinga mahakaman yanachukua Mali za watuIna semekana Johnson yuko selo ya polisi ostabey leo siku ya tano bila dhamana wala mawakili na ndugu zake kuruhusiwa kumuona.
Pia kuna tetesi za kumfungulia kesi ya uhujumu uchumi.