Sababu ya Marekani kupiga yowe kuwa nchi za Afrika zinaficha takwimu za Corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na Corona!

Marekani imejitoa WHO haipeleki takwimu kule imekaa nazo yenyewe kama ni lazima wao mbona hawapeleki na wamejitoa WHO shirika la afya linalosimamia afya duniani
Hawatoi WHO,lakini si zipo Public hizo taarifa?Au zimefichwa?
Mbona huwa unajitoa ufahamu kabisa na kujifanya zumbukuku kisa kushabikia CCM??
 
Walikuwa wanazusha wakisema ohh madereva 10 wameonekana na corona ukiwaambia tuonyeshe wanaanza kujiuma uma meno ohhh walikuwepo hapa hapa sijui wameenda wapi
ukiwauliza passport namba zao na majina yao si mnayo tupeni wanaanza ohh list hatuioni nadhani itakuwa imeenda na sampuli maabara nairobi

Ndipo serikali ikapanda hasira kufunga mipaka na kuwaambia wakenya mkome kutuchafua ndio wakaja ohh tutakuwa hatutaji mtu anayeumwa corona katokea nchi gani
Nonsense.
 
Mtaa gani huo ambao watu wanakufa kwa corona? mimi mtaani kwangu toka corona ianze hakuna mtu hata mmoja aliyekufa iwe kwa corona au ugonjwa wowote mitaa ipi hiyo tutajie mzushi wewe
Kwa hiyo mtaani kwenu watu hawafi kwa ugonjwa wowote ule?
Heko serikali ya awamu ya tano.
You have turned immortals.
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Possibly they are trying to hide the shame as a big nation for failure to control the pandemic...
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Acha kujidanganya,yaani Mungu atupende sie zaidi,kuriko USA,au Italy ambapo kuna makao ya kanisa,au Ulaya ambapo "mitume wote" wametoka!?
Mungu sio mbaguzi kiasi hicho,
Unataka kutuambia kwamba,Mungu katuonesha upendo kwenye korona tu,mbona kwenye majanga mengine,hatukuona huo upendo,Ebola,Njaa,msfuriko,umaskini,
 
Kwa upimaji gani?

Na kwa nini madereva wengi tu wa Tanzania wanapatikana na Coronavirus mipakani wakitaka kuingia nchi jirani wakati namba rasmi za Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Watanzania wangapi kati ya mamilioni wote wamepimwa mpaka sasa?

Tanzania Says COVID-19 Defeated With Prayer Despite Fears
Hilo la mitaa unaenda mbali sana. Tuambie tu kwanza kwenye ukoo wako umepoteza wangapi. Utakacho ona itoshe tu kujua na kwenye koo za wenzako pia hali ni kama hiyo.
 
Serikali ya Tanzania inaficha data au haifichi?

Hilo ni suala la msingi na la awali kabisa, la muhimu kwa Mtanzania, bila kujali Mmarekani anafuatilia au hafuatilii.
Ukipewa data zitakusaidia nini
 
Noma sana waongo Sana hawa
Walikuwa wanazusha wakisema ohh madereva 10 wameonekana na corona ukiwaambia tuonyeshe wanaanza kujiuma uma meno ohhh walikuwepo hapa hapa sijui wameenda wapi
ukiwauliza passport namba zao na majina yao si mnayo tupeni wanaanza ohh list hatuioni nadhani itakuwa imeenda na sampuli maabara nairobi

Ndipo serikali ikapanda hasira kufunga mipaka na kuwaambia wakenya mkome kutuchafua ndio wakaja ohh tutakuwa hatutaji mtu anayeumwa corona katokea nchi gani
 
Kwa upimaji gani?

Na kwa nini madereva wengi tu wa Tanzania wanapatikana na Coronavirus mipakani wakitaka kuingia nchi jirani wakati namba rasmi za Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Watanzania wangapi kati ya mamilioni wote wamepimwa mpaka sasa?

Tanzania Says COVID-19 Defeated With Prayer Despite Fears
Kigagula wewe usiyeamini kama mungu yupo
 
America amejitoa akianimin kuwa WHO ilichelewa ku respond. Ila si sababu ya takwimu.
And for the record anahitaji takwim si america. Ni taasisi kama CDC.. na WHO.
Sisi wametuletea vifaa vibovu na tulipo waambia kuwa ni vibovu wakakataa halafu baadae wakakubali
 
Kuna korona huko nao wanaficha takwimu sana tu
Kama hoja yako ingekuwa na mashiko beberu angekuwa anawasema pia Rwanda, Uganda, Namibia, Africa kusini, Kenya, Nigeria, Brazil nk. Kwa nini sisi tu? Hata kujiuliza hamna?

Hebu angalia anaowasema kuwa wanaficha takwimu. Kwani umewasikia hata wenyewe wakithubutu kulikanusha hilo?

Kwa kuona kwako tu, hata wewe mkuu, unadhani Tanzania haifichi takwimu?

Si ndiyo hawa hapa au siyo hawa?

More Tanzanians Test Positive for Coronavirus

Wasema kweli wapenzi wa Mungu. Panga pangua mama Samia ni mmoja wa watu hao. Lakini siyo hawa wengine!
 
Hata mimi
Mtaa gani huo ambao watu wanakufa kwa corona? mimi mtaani kwangu toka corona ianze hakuna mtu hata mmoja aliyekufa iwe kwa corona au ugonjwa wowote mitaa ipi hiyo tutajie mzushi wewe
 
Acha kujidanganya,yaani Mungu atupende sie zaidi,kuriko USA,au Italy ambapo kuna makao ya kanisa,au Ulaya ambapo "mitume wote" wametoka!?
Mungu sio mbaguzi kiasi hicho,
Unataka kutuambia kwamba,Mungu katuonesha upendo kwenye korona tu,mbona kwenye majanga mengine,hatukuona huo upendo,Ebola,Njaa,msfuriko,umaskini,
Kwani maambukizi duniani ni sawa hata Canada na U.S. hakuna usawa
 
Back
Top Bottom