Tufani la Alaqsa kuziangusha Marekani na Israel na kuzipindua nchi zote za kiarabu. Palestina kuwa taifa kubwa mbele ya Urusi na China

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,920
Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.

1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.

Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.

Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
 
Kumekucha Mkuu. Acha kuota. Hivi hata unawajua hao Palestina? Ni sawa na kusema Tanzania itakuja kuwa Taifa kubwa duniani.
Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.

1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.

Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.

Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzui fukuto liliopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
 
Labda kupindua viuno kama khadija kopa kwa mtindo huu?
1701494521234.png
 
Mtoa hoja relax mkuu, kila siku ni mada kuhusu middle east loo, kwa nini uchungu huu usiuanzie hapa nyumbani kunako na umasikini, ujinga,maradhi na rushwa ya hali ya juu?,ingia kwenye social networks za Palestine 🇵🇸 hakuna hata siku jina Tanzania linaandikwa!,pale kijiji cha Unango mkoani Lindi hadi leo hakina maji Safi na salama!
 
Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.

1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.

Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.

Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzui fukuto liliopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.

Waache kusafiria punda kwanza!
 
Kumekucha Mkuu. Acha kuota. Hivi hata unawajua hao Palestina? Ni sawa na kusema Tanzania itakuja kuwa Taifa kubwa duniani.
Sio ndoto.Huo ni uchambuzi wa kuona mbalij baada ya kusoma matukio.
Kipi kinachozuia Tanzania kuwa taifa kubwa kuliko UK baada ya miaka 50 mbele.
hilo tunalozungumzia kuhusua Palestina na Marekani si kwamba litatokea mwakani.Lakini hatimae ndicho kinachokuja.
 
Mtoa hoja relax mkuu, kila siku ni mada kuhusu middle east loo, kwa nini uchungu huu usiuanzie hapa nyumbani kunako na umasikini, ujinga,maradhi na rushwa ya hali ya juu?,ingia kwenye social networks za Palestine 🇵🇸 hakuna hata siku jina Tanzania linaandikwa!,pale kijiji cha Unango mkoani Lindi hadi leo hakina maji Safi na salama!
Ukitaka kupata mafanikio makubwa acha kuzungumzia vitu vidogo vidogo vinavyojirudia.
 
Ukisikia punyeto ya akili ndo hii sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na akili ndogo huwa huoni mbali.
Hili ni tope Marekani na Israel wameliingia na hawawezi kutoka salama.
Mijadala yao kuhusu Gaza ni mfano hao.Ni kama wameshika kaa la moto.Wameanza Urusi hawakumaliza Hamas akawaanzishia jengine Gaza.Wangependa yaishe wapate kupumua na hakuna kuisha.Vitaifa vidogo na wanamgambo wasio na silaha za kisasa watawamaliza hadharani.
 
Sio ndoto.Huo ni uchambuzi wa kuona mbalij baada ya kusoma matukio.
Kipi kinachozuia Tanzania kuwa taifa kubwa kuliko UK baada ya miaka 50 mbele.
hilo tunalozungumzia kuhusua Palestina na Marekani si kwamba litatokea mwakani.Lakini hatimae ndicho kinachokuja.
Acha bangi wewe Kenge
 
Ukiwa na akili ndogo huwa huoni mbali.
Hili ni tope Marekani na Israel wameliingia na hawawezi kutoka salama.
Mijadala yao kuhusu Gaza ni mfano hao.Ni kama wameshika kaa la moto.Wameanza Urusi hawakumaliza Hamas akawaanzishia jengine Gaza.Wangependa yaishe wapate kupumua na hakuna kuisha.Vitaifa vidogo na wanamgambo wasio na silaha za kisasa watawamaliza hadharani.
Braza tuliza wenge. Acha kuutesa ubongo wako kwa kujifikirisha mambo yasiyokuwepo kwa kuamini ni ukubwa wa akili! Kuna mambo mengi tu ya maana ya kuyafikiria.

Kufikiria Palestina kuwa taifa kubwa na kuidondosha Marekani na mataifa makubwa ya kiarabu ni punyeto ya akili.

Tangu hii mbungi imeanza umekuwa mentally affected kiasi cha kuweweseka sana. Unatumia hisia sana, punguza hisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza tuliza wenge. Acha kuutesa ubongo wako kwa kujifikirisha mambo yasiyokuwepo kwa kuamini ni ukubwa wa akili! Kuna mambo mengi tu ya maana ya kuyafikiria.

Kufikiria Palestina kuwa taifa kubwa na kuidondosha Marekani na mataifa makubwa ya kiarabu ni punyeto ya akili.

Tangu hii mbungi imeanza umekuwa mentally affected kiasi cha kuweweseka sana. Unatumia hisia sana, punguza hisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vita vilipoanza Afghanistani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna mtu alifikiria iko siku Marekani atakimbizwa Afghanistan kama mbwa koko au kwamba baada ya kujenga kuta za kutenganisha miji kule Falujja na Baghdad iko siku kuta hizo zitavunjwa na vikosi vya Marekani kurushiwa makombora na kamba zake kusambaratika.
Haikuwa rahisi kufikiri hivyo.Hiki kilichoanza Gaza kutaipeleka Israel huko na hatokuwa na mlinzi tena dhidi ya haki za wapalestina.
 
Vita vilipoanza Afghanistani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna mtu alifikiria iko siku Marekani atakimbizwa Afghanistan kama mbwa koko au kwamba baada ya kujenga kuta za kutenganisha miji kule Falujja na Baghdad iko siku kuta hizo zitavunjwa na vikosi vya Marekani kurushiwa makombora na kamba zake kusambaratika.
Haikuwa rahisi kufikiri hivyo.Hiki kilichoanza Gaza kutaipeleka Israel huko na hatokuwa na mlinzi tena dhidi ya haki za wapalestina.
Hivyo Afghanistan kwa sasa ni taifa kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom