Sababu ya Marekani kupiga yowe kuwa nchi za Afrika zinaficha takwimu za Corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na Corona!

Kwa kifupi nchi zote zenye mabavu kwa wananchi wao huu ndio mwa wao wa mwisho kunyanyasa raia
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Kabisa kabisa, US of A anadhani anajuwa kila kitu, aje afundishwe kupiga nyungu na kunywa dawa zetu za asilia...
 
Mkuu sijui ni tatizo la Taifa au kizazi kilichopo. Kuna ombwe la kufikiri na kutafuta ufahamu.
Takwimu za medical si sawa na takwimu za miti au malimao.

Takwimu za medical zipo katika Bio statistic na hutafsiriwa katika epidemiology.
Maeneo hayo mawili yanafanya kazi kwa pamoja kila moja liki suppliment jingine.

Huwezi kujua uwepo wa tatizo kama huna takwimu. Huwezi kujua trend ya ugonjwa kama huna takwimu.
Huwezi kujua 'factor' za tatizo kama huna takwimu.Huwezi kulikabili tatizo kama huna takwimu.

Mimi sioni kwanini tatizo la dunia Tanzania ilikatae kwa aibu. Leo tunasema hatuna Corona, je, ni kweli hatuna?
At the end of the day waathirika ni sisi na watakaolia au kubaki na tatizo ni sisi.

Nimesoma hoja ya ''takwimu' zinasaidia nini kila siku hapa jamvini. Nilichobaini ni kuwa ima wanaosema hivyo hawajui wanasema nini, au wanajua lakini wanapotosha tu .

Tanzania ni masikini kwasababu ya kizazi kama hiki kisichojua takwimu na bado tunategemea kuingia uchumi wa kati na mentality ya watu hao ambao wengine ni 'senior' katika vyombo mbali mbali tunavyotegemea!
Hakuna sababu yoyote mwananchi wa kawaida asiye na maslahi binafsi kwenye hili kutaka taarifa zisitangazwe. Kwa mwananchi aidha hajali kuhusu hizi namba, au mwenye uelewa kidogo na mambo, atake kuzijua kuelewa tatizo.
Vinginevyo ni propaganda machinery tu iko kazini
 
Hakuna sababu yoyote mwananchi wa kawaida asiye na maslahi binafsi kwenye hili kutaka taarifa zisitangazwe. Kwa mwananchi aidha hajali kuhusu hizi namba, au mwenye uelewa kidogo na mambo, atake kuzijua kuelewa tatizo.
Vinginevyo ni propaganda machinery tu iko kazini
Sijakuelewa!!!
 
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?

Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?

Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.

Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe?

Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.

Tunatengwa na nani? Yaani mtu una akili bado zma hizi unawaza kutengwa, kwa ugonjwa ambao hauna mjanja,
Wavulana siku hizi hamtumii akiri,
Nawaangalia tu,
Eti tutatengwa ? Na nani huyo atutenge sasa,
Hivi unaweza mtenga mtu anayetembea wakati wewe ndo kilema?
Hao malekani mpaka siku ugongwa unaisha kwao sisi tutakuwa tulishasahau kama upo.
 
Tunatengwa na nani? Yaani mtu una akili bado zma hizi unawaza kutengwa, kwa ugonjwa ambao hauna mjanja,
Wavulana siku hizi hamtumii akiri,
Nawaangalia tu,
Eti tutatengwa ? Na nani huyo atutenge sasa,
Hivi unaweza mtenga mtu anayetembea wakati wewe ndo kilema?
Hao malekani mpaka siku ugongwa unaisha kwao sisi tutakuwa tulishasahau kama upo.
Malekani ndio wapi?
 
Hawa mabeberu hawana akili...(typing testing after removing auto correction)
 
Unajua kuwa USA wenyewe wame fabricate taarifa?
Kuna majimbo wanasiasa walilazimisha data ziwe low.
Trump alilalamikia data zinaongezwa ovyo ili kumwangusha kisiasa.
WHO na mateka wa kibongo hawaoni kuwa hilo ni tatizo.

Reporting delays and political pressure contribute to the CDC's incomplete picture of COVID-19
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?

Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?

Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.

Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe?

Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.
 
Hivi ninavyoongea kuna dada anazikwa Moshi. Haipiti wiki bila kusikia msiba wa Covid-19.

Watu wengine wanajifunga macho na masikio kwa cognitive dissonance tu.
Ndio Covid 19 ipo. Kwa rate yako ya kusikia mtu mmoja kwa wiki si nzuri lakini sio kiama kama wengi wanavyotaka tuamini. Tuendelee kuchukua tahadhari.
 
Hiyo Covid imeenda likizo wakati huu wa maandamano huko USA? Sheria ya lockdown imeisha lini hadi watu wanaandamana barabarani bila mask wala kuzingatia maelekezo ya kujikinga na Corona?

Wale waandamanaji wote si watakufa au kuongeza idadi ya maambukizi?

Hili gonjwa bado jipya wataalam wenyewe wanajifunza bado ndio maana kila siku wanatoa maelekezo na miongozo mipya.
 
Serikali ya Tanzania inaficha data au haifichi?

Hilo ni suala la msingi na la awali kabisa, la muhimu kwa Mtanzania, bila kujali Mmarekani anafuatilia au hafuatilii.
Korona ni uhuni wa mabeberu kupitia WHO ilikutugandamiza nchi za Africa,ugonjwa huu upo na tunaishi nao hata kabla ya kupewa promo.
 
US hawana jipya.Mabaya yao walioitabiria Africa kwa Corono yamewageukia wao.Jinga kabisa
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea

Sababu ya ajabu sana hii umeitoa.

Eti sababu wao wana idadi kubwa,of which wao binafsi wanasema bado idadi yao kuna errors za kuhesabu ni even bigger...

Wangekua wanataka kua na idadi ndogo wangeficha data kama sisi!

Marekani sio wajinga waje kupambana na ki-Tanzania kwa idadi ya wagonjwa..thats nonsensical...

Kwanza wao population yao ni mara 8 ya Tanzania,in no way idadi ya wagonjwa ikawa remotely close.

Labda idadi ya USA ipambane na ya China,Indonesia,India,etc sio Tanzania.

Sijui kwanini nchi za hovyo shitholes zinapenda kuficha data,any type of data...sijui kwanini

Nchi bora zote data zipo online,sasa sijui wao hawaogopi nini na akina bwana bure wanaogopaga nini?

Full of shyt!
 
Ndio Covid 19 ipo. Kwa rate yako ya kusikia mtu mmoja kwa wiki si nzuri lakini sio kiama kama wengi wanavyotaka tuamini. Tuendelee kuchukua tahadhari.
Sasa hata kama anakufa mtu mmoja kwa wiki (kitu ambacho si ukweli, wanakufa watu wengi zaidi). Kwa nini serikali haitangazi namba za wagonjwa kuongezeka?
 
Back
Top Bottom