YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Nchi zilizoendekea moja ya sababu kubwa ni kuwa nchi za kidini sana ndio maana ziko juu
Israel mfano iko juu sababu baba yao Ibrahim.aliwaahidi kuwa atamfanya taifa kubwa na kulibariki sana liko juu
Nchi za kiarabu ziko juu nazo sababu Ishmael baba wa waarabu mtoto wa nyumba ndogo ya Ibrahim naye Mungu alimwambiwa atakuwa taifa kubwa
Ulaya imeendelea sababu ndiko ukristo ulikoshikwa sana na kuenezwa dunia nzima Mungu akawabariki kwa hilo
Marekani ndiko inaongoza duniani kwa kuwa na walokole wengi na waenda kanisani wengi kuliko taifa lolote duniani
Marekani ndio walioeneza ulokole dunia nzima.Pia pesa yao ya dola ndio pesa pekee duniani yenye maneno ya Mungu kila noti ya dola imeandikwa IN GOD WE TRUST
Kwa Afrika mashariki Kenya ndio inaongoza kwa watu kushika dini kiuthabiti na kudhamiria kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki kiuchumi wametuzidi
Kwa Tanzania wachaga ndio wanaongoza Tanzania kwa kushika dini kiudgabiti sana na kujali na kujitolea sana sadaka makanisani na ndio asilimia kubwa ndilo kabila lenye maendeleo na mafanikio kimaisha
Makabila mengine mjitathmini wenyewe
Israel mfano iko juu sababu baba yao Ibrahim.aliwaahidi kuwa atamfanya taifa kubwa na kulibariki sana liko juu
Nchi za kiarabu ziko juu nazo sababu Ishmael baba wa waarabu mtoto wa nyumba ndogo ya Ibrahim naye Mungu alimwambiwa atakuwa taifa kubwa
Ulaya imeendelea sababu ndiko ukristo ulikoshikwa sana na kuenezwa dunia nzima Mungu akawabariki kwa hilo
Marekani ndiko inaongoza duniani kwa kuwa na walokole wengi na waenda kanisani wengi kuliko taifa lolote duniani
Marekani ndio walioeneza ulokole dunia nzima.Pia pesa yao ya dola ndio pesa pekee duniani yenye maneno ya Mungu kila noti ya dola imeandikwa IN GOD WE TRUST
Kwa Afrika mashariki Kenya ndio inaongoza kwa watu kushika dini kiuthabiti na kudhamiria kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki kiuchumi wametuzidi
Kwa Tanzania wachaga ndio wanaongoza Tanzania kwa kushika dini kiudgabiti sana na kujali na kujitolea sana sadaka makanisani na ndio asilimia kubwa ndilo kabila lenye maendeleo na mafanikio kimaisha
Makabila mengine mjitathmini wenyewe