Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Status
Not open for further replies.
Si wangeileta kama ni story ya uchochezi

Si umemsikia Bashite leo, anasema haukuwa uvamizi bali ni igizo la uvamizi kama isidingo vile. Ngoja tumsubiri Mutahaba nae. Sinema ndio kwanza inaanza... pop corn please!
 
Baada ya kumsikiliza Makonda kuna uwazi juu ya kwamba mambo mengi aliyokuwa akiyafanya kama mkuu wa mkoa mawazo alikuwa akiyapata clouds. Sababu cloouds ilikuwa kama sebuleni kwake akitoka kazini anaenda pale mjengoni, Dhahiri hata wale waliotajwa waiza madawa ni story alizozisikia clouds wakati akikaa na kina soudybrown.
 
Wewe upo nchi gani? Kwa walioko TANZANIA wanaelewa kuwa kuna kamati iliundwa na aliyekuwa waziri wa habari Ndg. Nape Nnauye kuchunguza tukio la uvamizi wa Makonda kwenye ofisi za Clouds Media. Upande wa CLOUDS walihojiwa na ile kamati, chakushangaza siku wanakwenda kuhoji upande wa pili haikuwezekana kwani Ndg. Makonda alitoroka kwa kupitia mlango wa nyuma..

NYONGEZA: Baada ya ripoti ile ilivyotoka tu, ilisababisha aliyekuwa waziri wa habari kufukuzwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine..

MAKONDA ALIVAMIA CLOUDS MEDIA.
Hilo kalijibu makonda naona wewe ni mmoja wa Wale waliojifungia chooni wakati akiongea kasema waziri yeyote hana mamlaka kisheria kuunda kamati ya kumchunguza mkuu wa mkoa yeyote. Kamati ilitakiwa iundwe Na raisi sio waziri. Ile kamati ya Nape ilikuwa hewa asingeweza kukutana nayo.Nape aliingilia madaraka ya raisi
 
Mkuu wa mkoa wa dsm katoa maneno ya dharau juu ya akili ya Ruge mkurugenzi wa vipindi clouds media kwamba uwezo wake ni kutunga nyimbo na ngonjera hawezi kuongoza dsm.

Mkuu wa mkoa amesahau sifa alizotaja mheshimiwa Rais za kuwa mkuu wa mkoa ni kujua kusoma na kuandika. Sifa hizo ruge anazo sasa kumwambia hana akili ya kuongoza dsm maana yake hajui kusoma na kuandika.

Brother ruge usiwe mnyonge iga mfano wa baba askofu Gwajma tumia media yako mchane hakushindi kwa lolote hata uwezo wake wa kujibu maswali una walakini wakati wewe unajibu kiufasaha. Mbona Sugu uliwahi kumjibu alipo kusema vibaya bungeni, makonda ni nani mpk useme hutaki majibizano??? Atakuzoe huyo mchane kaka sisi tupo nyuma yako. DSM BILA UNAFIKI INAWEZEKANA
 
ruge achana na huyu jamaa ambaye hataki kufanya kazi anakuja kubwabwaja mambo ya hovyohovyo.........
ili mjibishane arudi kwenye media kwa akili zake ndo mkakati huu aliokaa akakuna kwicha akaona hapo ndo utamrudisha hewani........... chonde chonde mkaushie ili aumie zaidi ya hapa afanye kazi hatutaki kumuOna mahali popote kwenye tv wala magazei tunataka maendeleo sio mambo ya kitoto kama ruge alikula rushwa kwanini asiende polisi star tv ndo mahakamani?

NONESENSE
 
Ruge kaongea nini? Tulikuwa busy kumsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanzania Daudi Bashite!
 
Huwezi mfananisha ruge n'a rc ....ruge napiga shule anajielewa.....unaweza ksema usibishane n'a ----

Ova
 
Ruge kumjibu makonda itakuwa kumpa heshima watu kama kina Makonda ni wa kupuuzwa tu.. Ruge ameweza kuipaisha clouds TV mpaka imeweza kuwekeza DSM mjengo wa maana ameweza kuendesha THT kwa mafanikio makubwa wasanii kibao wametokea hapo sasa wanaingiza fedha za maana kupitia kodi,while yeye makonda akitoa matamko tu yasiyo tekelezeka.
 
Mkuu wa mkoa wa dsm katoa maneno ya dharau juu ya akili ya Ruge mkurugenzi wa vipindi clouds media kwamba uwezo wake ni kutunga nyimbo na ngonjera hawezi kuongoza dsm.

Mkuu wa mkoa amesahau sifa alizotaja mheshimiwa Rais za kuwa mkuu wa mkoa ni kujua kusoma na kuandika. Sifa hizo ruge anazo sasa kumwambia hana akili ya kuongoza dsm maana yake hajui kusoma na kuandika.

Brother ruge usiwe mnyonge iga mfano wa baba askofu Gwajma tumia media yako mchane hakushindi kwa lolote hata uwezo wake wa kujibu maswali una walakini wakati wewe unajibu kiufasaha. Mbona Sugu uliwahi kumjibu alipo kusema vibaya bungeni, makonda ni nani mpk useme hutaki majibizano??? Atakuzoe huyo mchane kaka sisi tupo nyuma yako. DSM BILA UNAFIKI INAWEZEKANA

Walimlea wenyewe acha awatafute mpaka media ife kabisa, walijiona wamependwa kuliko wengine sasa ngoja waonje chungu ya jiwe
 
Mkuu wa mkoa wa dsm katoa maneno ya dharau juu ya akili ya Ruge mkurugenzi wa vipindi clouds media kwamba uwezo wake ni kutunga nyimbo na ngonjera hawezi kuongoza dsm.

Mkuu wa mkoa amesahau sifa alizotaja mheshimiwa Rais za kuwa mkuu wa mkoa ni kujua kusoma na kuandika. Sifa hizo ruge anazo sasa kumwambia hana akili ya kuongoza dsm maana yake hajui kusoma na kuandika.

Brother ruge usiwe mnyonge iga mfano wa baba askofu Gwajma tumia media yako mchane hakushindi kwa lolote hata uwezo wake wa kujibu maswali una walakini wakati wewe unajibu kiufasaha. Mbona Sugu uliwahi kumjibu alipo kusema vibaya bungeni, makonda ni nani mpk useme hutaki majibizano??? Atakuzoe huyo mchane kaka sisi tupo nyuma yako. DSM BILA UNAFIKI INAWEZEKANA
Ukishindana na mjinga wote mtaonekana wajinga.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom