haswaaaaaaaa amkaushie apige kazi huyu mtu akili zake zinamtosha mwenyewe nikajua anakuja na bonge la project haha hana tofauti na mzee wa upako alilewa akatukana majirani halafu akaanza kusema watu watakufa sijui nitauza gongo akijua anamkomoa mtu kumbe anajipalia makaa mwenyewe sasa kimyaaaRuge kumjibu makonda itakuwa kumpa heshima watu kama kina Makonda ni wa kupuuzwa tu.. Ruge ameweza kuipaisha clouds TV mpaka imeweza kuwekeza DSM mjengo wa maana ameweza kuendesha THT kwa mafanikio makubwa wasanii kibao wametokea hapo sasa wanaingiza fedha za maana kupitia kodi,while yeye makonda akitoa matamko tu yasiyo tekelezeka.
Acha ushamba. Au timu fusi..Wewe Ruge ulimkosea Makonda, muombe msamaha
pumba fuHilo kalijibu makonda naona wewe ni mmoja wa Wale waliojifungia chooni wakati akiongea kasema waziri yeyote hana mamlaka kisheria kuunda kamati ya kumchunguza mkuu wa mkoa yeyote. Kamati ilitakiwa iundwe Na raisi sio waziri. Ile kamati ya Nape ilikuwa hewa asingeweza kukutana nayo.Nape aliingilia madaraka ya raisi
Nafikiri wewe na Bashite ndiyo Nyumbu ...!!Leo hii mnasema kukaa kimya ni busara wakati makonda alipokaa kimya mlisema siyo busara Ila busara ni kuongea. Aise hawa nyumbu hawa ni shiida. Go go go makonda
So Rais kaamua kumsamehe?Nawaza tu ingekuwa Lema ndio kavamia kituo cha habari,maweeeeeeeee,angekiona cha moto!Hilo kalijibu makonda naona wewe ni mmoja wa Wale waliojifungia chooni wakati akiongea kasema waziri yeyote hana mamlaka kisheria kuunda kamati ya kumchunguza mkuu wa mkoa yeyote. Kamati ilitakiwa iundwe Na raisi sio waziri. Ile kamati ya Nape ilikuwa hewa asingeweza kukutana nayo.Nape aliingilia madaraka ya raisi
Ruge amesoma alama za nyakati ndio maana amesema hataki malumbano.Mkuu wa mkoa wa dsm katoa maneno ya dharau juu ya akili ya Ruge mkurugenzi wa vipindi clouds media kwamba uwezo wake ni kutunga nyimbo na ngonjera hawezi kuongoza dsm.
Mkuu wa mkoa amesahau sifa alizotaja mheshimiwa Rais za kuwa mkuu wa mkoa ni kujua kusoma na kuandika. Sifa hizo ruge anazo sasa kumwambia hana akili ya kuongza dsm maana yake hajui kusoma na kuandika.
Brother ruge usiwe mnyonge iga mfano wa baba askofu Gwajma tumia media yako mchane hakushindi kwa lolote hata uwezo wake wa kujibu maswali una walakini wakati wewe unajibu kiufasaha. Mbona Sugu uliwahi kumjibu alipo kusema vibaya bungeni, makonda ni nani mpk useme hutaki majibizano??? Atakuzoe huyo mchane kaka sisi tupo nyuma yako. DSM BILA UNAFIKI INAWEZEKANA
Madhara ya kuanika kila kitu kwa rafikiHakuna Ruge anachoweza kuzungumza kwa jinsi Makonda alivyosema akiamua kuoongea baadhi ya mambo haoni nani atasimama hapo clouds!! Kwa ujumla kuna mambo mengi wanajuana ambayo ni machafu hivyo hakuna anayethubutu kuyaongea. Na kwa hali ilivyo Makonda ndio kashika mpini kwani ana upendeleo wa dola nyuma yake. Haya ndio madhara ya urafiki wenye uhalifu ndani, siku mkikosana ndio hugeuka kuwa fimbo ya kukuchapia.