Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Status
Not open for further replies.
Naambiwa STAR TV walipokwenda OFF bado radio zao zilikuwa LIVE....ndipo ikasikika sauti moja ikisema "leo tunamkomesha Ruge"
Kwahiyo interview ya leo ilikuwa na lengo la kumkomoa mtu! Lakini mbona kama Bashite kaenda kujivua nguo mwenyewe!?
 
Nasikia kuna ki audio kimesikika sauti ya bwana yule kwamba Leo Ruge tuna mkomesha
 
Mi nmeskiliza kwa radio free hadi wanamaliza inaanza rfa bonanza mbna hcho kisauti sjaskia
 
What i am seeing here kuna mtu anajenga empire kubwa na kwa kasi hapa nxhini. Tuombe mungu yasije tufika.
 
Ruge kakosa cha kujibu naona anambwelambwela
Ulitaka ajibu ili bosi wako aje.na mipasho yake tena sasa yeye bashite nayekajibu nini zaidi ya kumbwela mbwela
vyeti viko wapi…………?
Msaidie wew kujibu ilo swali
 
RC Makonda kwa jinsi alivyopangua tuhuma za yeye kuvamia studio yenu, ni kama vile mlimpakazia kwa Maslahi ya kundi flani.

1-mpaka leo hakuna kesi ya msingi mahakamani, ukizingatia hiyo ni jinai.

2-kushindwa kwenu kutoa clip ya tukio zima la uvamizi kama ni Kweli, kwa kuonyesha ushahidi wa baadhi ya watumishi wenu kupigwa na vitako vya bunduki.
Kama mlitumika kumchafua, ni aibu Sana kwa tasnia ya habari nchini.

Hii inaonyesha baadhi ya vyombo vya habari nchini haviko huru, hutumikia bifu za baadhi ya watu flani kwa kuwaangamiza wasio na hatia.

Mwisho, hata ile habari ya kumhusu yule mama aliezaa na Gwajima bado haijabalance ili itoke?, au mmekula mlungula kama RC Makonda alivyosema?
Fahamuni siku zinavyokwenda mbivu na mbichi zinaanikwa.
 
We ni mtu wa ajabu kama Bashite mwenyewe!

Akina Balile walichunguza issue kwa kuangalia suala la maadili ya vyombo vya habari na ndio maana walikosoa hata ukaribu wa Clouds na Bashite!! Lakini masuala yasiyohusiana na maadili ya vyombo vya habari wakapendekeza polisi ndio wachunguze!!

Halafu from nowhere unaibuka na kudai polisi wachunguze nini na tena hapo hapo unadai akina Balile wangetaka uhalali wangeomba wataalamu wa polisi!!!

Mbona unajikanganya?! Au hujui ulichokuwa unaongea?!
soma uelewewe wewe achakukurupuka tuIiza mawazo wakati unasoma
 
bora CMG wasimjibu DAB maana nao wataonekana LOW kama huyo DAB
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Bashite alkuwa anajikanyaga kujibu maswali yaonesha bashite ni kweli alivamia studio na hana vyeti ukweli.dar inaongozwa na ziro dvs

Swissme
 
RC Makonda kwa jinsi alivyopangua tuhuma za yeye kuvamia studio yenu, ni kama vile mlimpakazia kwa Maslahi ya kundi flani.

1-mpaka leo hakuna kesi ya msingi mahakamani, ukizingatia hiyo ni jinai.

2-kushindwa kwenu kutoa clip ya tukio zima la uvamizi kama ni Kweli, kwa kuonyesha ushahidi wa baadhi ya watumishi wenu kupigwa na vitako vya bunduki.
Kama mlitumika kumchafua, ni aibu Sana kwa tasnia ya habari nchini.

Hii inaonyesha baadhi ya vyombo vya habari nchini haviko huru, hutumikia bifu za baadhi ya watu flani kwa kuwaangamiza wasio na hatia.

Mwisho, hata ile habari ya kumhusu yule mama aliezaa na Gwajima bado haijabalance ili itoke?, au mmekula mlungula kama RC Makonda alivyosema?
Fahamuni siku zinavyokwenda mbivu na mbichi zinaanikwa.

Utata maelezo ya Makonda:
Nilikuwa nyumbani naangalia shilawadu,ikafika saa 4:30,nikaona hakuna dalili ya kipindi cha yule mwanamke kuruka hewani,nikawapigia simu wakawa hawapokei,ikabidi niende maana nilikumbuka nilikuwa sijamaliza kufanya editing ya documentary yangu!Nilipofika nikaingia,nikamuona kijana mmoja wa kipindi,nikamuita nikimtania mmekula hela!Hiyo ilikuwa saa 4:45!Nikampigia simu Ruge kutaka kujua kwanini kipindi hakijaenda hewani,nikaenda kufanya kilichinipeleka pale ambapo ilikuwa editing!Nikamaliza na kuondoka!

Maswali:
1.Iweje baada ya kuona shilawadu hawarushi habari ya gwajima ndio ukumbuke una kazi ya kuedit hujaimaliza huko clouds?

2.Muda wa kuingia na kutoka clouds inaonekana kwenye cctv footage inaonesha hukufikisha hata nusu saa ndani ya clouds,je
-Muda ulitoshaje kumuhoji kijana mmoja juu ya kutokuruka kwa kipindi,kupiga simu kwa Ruge na kufanya naye mazungumzo na kuedit kazi yako?
 
KWA MARA YA KWANZA
CLOUD 360 WALIKUWA LIVE FACEBOOK, YOUTUBE.

WANANCHI WANAKIU NA MAKONDA ; VIEWER WA MAKONDA ILIKUWA 5 MIL ONLINE.

WATU MKIWAMINYA ; NDO WANAKOMOA .
 
Imeshukaje, au kwa uelewa wako na uwezo wako wa kufikiria nan confidence imeshuka hapo! yeye alikataa kutoka saiv anasema clouds watoke! mbna mnafkiria kwa kutumia kichwa cha nyuma, anyway what we need ni ukwel
Kwa taarifa yenu huu mchezo Ruge atafeli vibaya sana alizoea kucheza na kina Lady JD anadhani anaweza kumsumbua Magufuli amegusa pabaya sana. Operation iliyopo atajuta kujaribu kufanya ujinga
 
Siuoni huitaji wa Ruge kwa makonda labla utueleze kama uhitaji upi unaousemea?
Makonda ndio basii tenaa[emoji2] [emoji2] badala ya kuyapoza anazidi kuyatibua, uhitaji wa makonda kwa Ruge huwezi kuuona leo bila Kipindi kile Mnahangaika na Mti wangu, sijui upupu gani wa kutukana watendaji wa serikali na kamata kamata ya wenyeviti wa Mtaa umuhimu wa Ruge mlikua mnauona na kumnyenyekea mlikua mnamnyenyekea, yaani bahati nzuri Ruge ameshasema hataki hayo tena kwake ni taka taka, sasa nyie mnahangaiika mnamuita tapeli na kila aima ya maijina teh teh teh!
 
Naambiwa STAR TV walipokwenda OFF bado radio zao zilikuwa LIVE....ndipo ikasikika sauti moja ikisema "leo tunamkomesha Ruge"
Kwahiyo interview ya leo ilikuwa na lengo la kumkomoa mtu! Lakini mbona kama Bashite kaenda kujivua nguo mwenyewe!?
KWASABABU AKILI HANA NI KAMA VILE ANAVYOWAAMBIA MACHOKORAA WAJISELFIE NAYE HALAFU ANAWAULIZA VIDEO IMEENDA HIYO YA KWANZA HAHAHAH KWELI HUYU BWANA NI MUHARIBIFU WA KODI ZETU


SAMAHANI HII PRESS YAKE YA LEO INATIJA YOYOTE KWETU?\ WANADAR AMA TAIFA KWA UJUMLA AMA ALIKUWA AMEENDA KUONGELEA MAMBO YA SIYOLIHUSU TAIFA WALA HAYAHUSIANI NA KODI ZETU KUPOTEZWA?
KULIPIA AIRTIME===KODI ZETU
MAFUTA=========KODI ZETU
ASKARI WANAOMLINDA =KODI ZETU
MUDA WA KAZI YEYE ANAFANYA MAJUNGU


ANGEENDA KUONGELEA MAMBO YANAYOHUSU MSTAKABALI WA MATAKATAKA YALIYOJAA KILA KONA DAR
ANGEONGELEA MIUNDOMBINU HASA MIFEREJI TUNAIFANYAJE ILI MVUA ZIKINYESHA KUSIFURIKE............
 
Kwa taarifa yenu huu mchezo Ruge atafeli vibaya sana alizoea kucheza na kina Lady JD anadhani anaweza kumsumbua Magufuli amegusa pabaya sana. Operation iliyopo atajuta kujaribu kufanya ujinga
Aaaaaaaagh wapi! Eti makonda amshinde ruge
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom