Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Ruge Mutahaba live Jumatatu tarehe 22.05.2017 CLOUDS 360

Status
Not open for further replies.
Wakuu Mkurugenzi wa vipindi clouds media group yupo live hewani muda huu ktk kipindi cha clouds 360. Nadhani ni ktk kujibu mashambulizi ya Bashite
 
Akupe CCTV yote wewe ni nani?! Moja ya maazimio ya Jukwaa la Wahariri ilikuwa ni kuwaambia polisi wachunguze kiundani tukio lile!! Sasa kwanini usiwaulize hao polisi ikiwa walichunguza au hapana?!
Polisi wachunguze nini wakati ripoti yao ilitoa majibu yake ule ulikua ni uzumbukuku wa akina Balile na wenzake,wangetaka uhalali wangeomba wataalamu wa polisi wahusiswe kwenye uchunguzi,unalalamika kuvamiwa alafu unaunda kamati bila kuhusisha vyombo vya uchunguzi tangulini TEF wakawa wachunguzi wa uvamizi tena wakutumia silaha SMG, AK-47 ???????
 
Katika haya yanayoendelea na kwa kumsikiliza Bwana Makonda ni vema Ruge na Clouds media waseme ukweli..kuna mambo yana ukakasi kidogo, inaweza ikawa kweli Makonda alivamia na inaweza ikawa ni katika kile ambacho Clouds wanakifanya kila siku katika kutaka maslahi...Ruge sema ukweli tupe CCTV yote tuone ukweli...

Nimalizie tu kuwa CLOUDS TUNAOMBA CCTV YOTE NA MAELEZO YALIYOKAMILIKA..Bila hivyo mtakuwa mnatugombanisha hadhira...waiting for next episode

My conc; Tuweke unafiki pembeni kila kitu kiwekwe peupe mimi sina side katika hili natamani kujua ukweli sio rahisi kuamini hivi vitu anavyoongea Makonda na sio rahisi kumuelewa Ruge na Clouds Media...Twendeni sawa tuache matusi.

RC MAKONDA anasema anayajua mabaya mengi ya Ruge je...hakuna cha kuongea hapo as a clouds?

Clouds Media wameshasema ukweli wote mbele ya tume ya Nape na other CCTV evidence zimeshakabithiwa kwenye tume na vipo kwenye report husika.

Vipi umeshawahi ujiuliza kwanini Bashite alipita mlango wa uani na kuikimbia tume ya Nape??
 
Anasema urafiki wa wa wali maharage ndio anao utaka na sio wa mtutu
 
Najiuliza tu je hadi leo kwa nini story ya yule mama aliyesemekana kuzalishwa na kutekelezwa na Gwajima haijaenda hewani??Je Clouds kwa kutumia weledi wake imeshindwa kupata balanced story??
 
Polisi wachunguze nini wakati ripoti yao ilitoa majibu yake ule ulikua ni uzumbukuku wa akina Balile na wenzake,wangetaka uhalali wangeomba wataalamu wa polisi wahusiswe kwenye uchunguzi,unalalamika kuvamiwa alafu unaunda kamati bila kuhusisha vyombo vya uchunguzi tangulini TEF wakawa wachunguzi wa uvamizi tena wakutumia silaha SMG, AK-47 ???????
We ni mtu wa ajabu kama Bashite mwenyewe!

Akina Balile walichunguza issue kwa kuangalia suala la maadili ya vyombo vya habari na ndio maana walikosoa hata ukaribu wa Clouds na Bashite!! Lakini masuala yasiyohusiana na maadili ya vyombo vya habari wakapendekeza polisi ndio wachunguze!!

Halafu from nowhere unaibuka na kudai polisi wachunguze nini na tena hapo hapo unadai akina Balile wangetaka uhalali wangeomba wataalamu wa polisi!!!

Mbona unajikanganya?! Au hujui ulichokuwa unaongea?!
 
Hakuna kesi iliyofunguliwa na wahariri wala ruge mwenyewe.Watachunguza nini walalamikaji ni hewa:
Watu wengine bhana!!! Kuna mtu aliyekuambia kuna kesi ilifunguliwa?! Au polisi kuchunguza shauri ni hadi mtu akafungue kesi?!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom