Rostam aibukia kanisani!

Rostam aibukia kanisani!

Unataka kujua mimi ni nani?Ni mpinga unafiki,ufisadi,mzalendo wa kweli na kila aina ya uonevu.Mimi ndiye.Ila lets get back to the topic kuwa wakae vikao wasikae ameshaenda na kuongea ameongea.Hawana la kufanya ila wamuombee kwa Mungu amrejeshe kwenye njia ifaayo waijuayo wao.

Hiyo njia inajulikana na COALITION FOR FREEDOM AND JUSTICE!

THEY WILL GIVE US FURTHER DIRECTIONS!

However KAMA KKKT WAKIWAKUMBATIA MAFISADI...THEN ITASAMBARATIKA!

MARK MA WORDS KWANI NILISHATABIRI HILI KTAMBO SANA TU!

TENA HATA KABLA ROSTAM HAJAAMUWA KUFANYA HIVI..KWANI HATUA ZAKE NI KWASABABU YA UPAMBANAJI WA HOJA HAPA JF!

NA TARATIBU HAKI ITAPATIKANA!
 
Magwiji... Kinachogomba hapa sio ni kwanini RA ametoa "mchango" (hongo???)..... ambao wewe unauita sadaka. Ni namna alivyoamua kutoa: Je nini madhumuni yake? Kwanini atoe kwa vijembe?

Mkubwa
Huyu jamaa sio katoa jana tu ktk kanisa hilo bali 2005 pia alitoa kujenga jengo la kanisa ambalo leo linatumiwa na chuo kikuu cha Tumaini.

Mimi naona kila kitu tunajaribu kukifanyia propaganda hadi mambo ya Mungu.
 
sadaka ni sadaka tu cha muhimu kuiombea ili kuvunja hiyo nguvu iliyoko nyuma ya hiyo sadaka inayotolewa
Umekosea sadaka kwa mujibu wa biblia ina taratibu zake.
Yesu katika kitabu cha Matayo sura ya 5 na 6 kaweka wazi kwamba kama una matatizo na nduguyo weka sadaka pembeni nenda kapatane naye kwanza kisha rudi utoe. Na amesema wazi hata maombi yako uzuiliwa kama mambo haya hayajawekwa wazi.
Kwa maana hii sadaka kama ya RA ni batili. Wala hakuna maombi yanayoweza kuitakasa.
 
Mkubwa
Huyu jamaa sio katoa jana tu ktk kanisa hilo bali 2005 pia alitoa kujenga jengo la kanisa ambalo leo linatumiwa na chuo kikuu cha Tumaini.

Mimi naona kila kitu tunajaribu kukifanyia propaganda hadi mambo ya Mungu.

Ehee!!!!! sasa basi jiulize: Mtu yule yule alitoa fedha mwaka 2005 watu hawakuhoji, sasa kimetokea nini 2008 watu wakaguna???????????
 
Ehee!!!!! sasa basi jiulize: Mtu yule yule alitoa fedha mwaka 2005 watu hawakuhoji, sasa kimetokea nini 2008 watu wakaguna???????????

kwasababu 2010 iimebakia kama mwaka mmoja na nusu hivi 2005 ilikua mbali sana
 
Umekosea sadaka kwa mujibu wa biblia ina taratibu zake.
Yesu katika kitabu cha Matayo sura ya 5 na 6 kaweka wazi kwamba kama una matatizo na nduguyo weka sadaka pembeni nenda kapatane naye kwanza kisha rudi utoe. Na amesema wazi hata maombi yako uzuiliwa kama mambo haya hayajawekwa wazi.
Kwa maana hii sadaka kama ya RA ni batili. Wala hakuna maombi yanayoweza kuitakasa.


wewe unauhakika gani kama hajatubu chumbani kwake na hizo mali ameamua kugawia masikini?
 
Ehee!!!!! sasa basi jiulize: Mtu yule yule alitoa fedha mwaka 2005 watu hawakuhoji, sasa kimetokea nini 2008 watu wakaguna???????????

Ndio hapo ujiulize siye wabongo tuna tabia ya ushabiki uliopindukia na kupelekwa na matukio.Kama kinawauma hao maaskofu wajiuzulu kwa kigezo cha embarrassment.
 
wewe unauhakika gani kama hajatubu chumbani kwake na hizo mali ameamua kugawia masikini?

Niliwapa USHAURI WA KUTUBU MBELE ZA WATANZANIA NA WALA SI MAKANISANI NA MISIKITINI!

Huko kuna WANANCHI WANAOTESEKA KWA UFISADI WAO WA KUIUZA NCHI NA WAWAACHE WAKAE HADI KESI ITAKAPOFIKISHWA BUNGENI NA MAHAKAMANI.

Wawaache wananchi kwani hawajawapa ELIMU BALI NI DINI TU!

Na sasa wanataka kuitumia kwa MANIPULATION PURPOSES KUDAI KUWA ONLY GOD CAN JUDGE THEM FISADIS!

Na hapo tunarudi kwenye historia ya hao wazungu waliowaletea DINI!

Kwamba hata wao waliwahukumu wale waliokuwa wanawatawala ki MABAVU NA KUWANYANYASA NA WAO WAKAPIGANIA UHURU WAO KWA KUTUMIA NENO HILO HILO LA MUNGU...Kuanzia wana wa ISRAELI DHIDI YA FARAO...NA PIA WAYAHUDI HAO HAO DHIDI YA ROMAN EMPIRE,NA WAMAREKANI HAO HAO WAKIONGOZWA NA WASHINGTON NA ABARAHAM LINCOLN WAKIWA NA BIBLIA MIKONONI WALIPIGANIA UHURU NA DAMU ILIMWAGIKA!

Hivyo basi...Tusi MISTRANSLATE KAMA ILIVYOKUWA WAKATI WA UKOLONI AMBAPO WAZUNGU WALIUTUMIA ULE USEMI WA BIBILIA KWAMBA AKUPIGAYE KOFI SHAVU LA KUSHOTO BASI UMPE NA LA KULIA!

WATUMWA NA SISI TULIOKUWA CHINI YA MKOLONI HASA HASA BAADHI YA MABABU ZETU WALIKUWA WAKITUMIKISHWA NA WALIPODAI HAKI ZAO WAKAPIGWA VIBAO NA WAO WAKAGEUZA SHAVU LA PILI KWASABABU BIBLIA INASEMA HIVYO!

Mistranslation of the WORD OF GOD!

THEREFORE MAONI YANGU NA MSIMAMO WANGU NI HUU HAPA......

DINI BILA ELIMU NI "TOTAL MANIPULATION!"
 
Haisemi kutubu tu. Biblia inasema "iweke kando kapatane kwanza na mwenzio ndipo uje utoe" upo hapo?
Biblia pia inasema tusiwahukumu bali Mungu ndiye mwenye kuhukumu!
Na pia inasema ROSTAMA AKIKUCHAPA KIBAO UPANDE WA KULIA MPE NA SHAVU LA KUSHOTO.
WE UNAAMINI VIPI?
 
Biblia pia inasema tusiwahukumu bali Mungu ndiye mwenye kuhukumu!
Na pia inasema ROSTAMA AKIKUCHAPA KIBAO UPANDE WA KULIA MPE NA SHAVU LA KUSHOTO.
WE UNAAMINI VIPI?
Mushi mimi sijamhukumu bali always neno la Mungu ndiyo linahukumu.
 
Mushi mimi sijamhukumu bali always neno la Mungu ndiyo linahukumu.

Kauli hiyo kuwa neno la Mungu linawahukumu MAFISADI NA WASHIRIKA WAKE...hao wachungaji waliotowa mwaliko hawakuijuwa?

Wachungaji na Maaskofu wenye kupenda PESA KULIKO UHURU NA UBINADAMU NI WA KUHAMA MAKANISA HAYO!

Ni Mpango wa MUNGU KUWA TUWE HURU!
 
.....According to the dataz nilizozipata sasa hivi ni kwamba leo wakuu wa makanisa karibu yote nchini wamekutana na kuongea na waandishi wa habari kuhusiana na kitendo cha juzi cha Rostam kwenda kanisani,

1. Kwanza imefahamika kuwa aliye-engineer huo mpango wa Rostam kwenda kanisa hilo ambalo Spika ni mzee wa kanisa, ni mkulu Lowassa.

2. Wakuu hawa wa makanisa ambao pia walimjumuisha Mtikila kwenye maelezo yao kwa waandishi w habari wamekilaani sana kitendo hicho cha Lowassa na Rostam kujaribu kuyaingilia makanisa.

3. Wamemtaka kiongozi wa kanisa lililopokea pesa za Rostam, kuzirudisha mara moja kwa Rostam, kwamba kanisa halihitaji hela hizo za ufisadi na wamemuonya sana Rostam kuwa sasa he is out of control ajiepushe kabisa in the future na makanisa.

Ahsante wakuu hii nimeipata sasa hivi baada tu ya viongozi hao wa makanisa kumaliza mkutano wao na waandishi.

Naomba Mods ikisha-expire hii iunganishwe na ile thread ya Invisible.
 
Mkuu hii haita EXPIRE...!
Matter of FACT...NDIO MWANZO WA MWISHO WA PROPAGANDA ZA MAFISADI!
Kwani Bungeni kuliwashinda na sasa wanakuja makanisani na misikitini kupreach UDINI NA UKABILA!
WASHINDWE!
 
Lakini ni kwanini hilo kanisa lilipokea hizo fwedha?

Hapa kidoogo naona kiongozi wa kanisa amelaghaiwa na ujanja wa RA.

Hivi makanisani nako kuna nini?
 
JAMANI mbona mnaudi sana tajiri wakichaga MZEE MENGI alikwenda Msasani akaingia madrasa akatoa pesa tena vijisinti na kupata dua za wanafunzi wa madrasa
That was not ishu kafanya Rostam ishakua ishu DINI zote niza mungu WAKRISTO TUNA MTUMILIA SANA MTIKILA KULETA UHUSIANO MBAYA NA WENZETU WAISLAMU THAT WILL BRING BAD END TAKE CARE
 
JAMANI mbona mnaudi sana tajiri wakichaga MZEE MENGI alikwenda Msasani akaingia madrasa akatoa pesa tena vijisinti na kupata dua za wanafunzi wa madrasa
That was not ishu kafanya Rostam ishakua ishu DINI zote niza mungu WAKRISTO TUNA MTUMILIA SANA MTIKILA KULETA UHUSIANO MBAYA NA WENZETU WAISLAMU THAT WILL BRING BAD END TAKE CARE

WHO CARES?
WAMEANZISHA WAO UDINI NA UKABILA!
Mengi na yeye katajwa kwenye RICHMOND,EPA NA MEREMETA?
Mwacheni Mzee wa WATU AKAE KWANI SI KANISANI KWAKE ALIKOKARIBISHWA MTU ALIYEHUSIKA KUIUZA NCHI YETU!
 
Ufarisayo mtupu,

Hivi Yesu alimchukuliaje Zakayo? Na alimwambia yule tajiri aliyetaka kumfuata nini?

Hivi watu wangapi wana hela za ufisadi na wanatoa sadaka kanisani?
 
Hapa JF ni moto wa kuotea mbali kwani nahisi kila sekunde iendayo key members wanaangalia nchi inavyokwenda na kujaribu kutuhabarisha nawashukuru sana hasa FM ES kwa kweli Mzee upo juu.Nilipoisoma habari hii ingawaje nipo porini naishukuru simu yangu inamtandao wa celtel imeniwezesha kutoa angalau shukrani kwa leo.Asanteni wana JF WOTE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom