Sir, Pundit.
Tatizo sio sadaka mkuu ni pale unapotoa sadaka kwa mategemeo nje ya sadaka hiyo!.. Yesu aliwapokea watu waliokuwa mafisadi lakini baada ya kuwaona wanatafuta mwanga!... Yesu asingeweza kupokea fedha za tajiri ambaye anataka Yesu abadilsihe mwelekeo wa mafundisho yake! ati ajaribu kuwaunganisha wasioamini na wanaoamini wawe kitu kanisa moja..
Tena basi anayezungumza ndiye Pilato mwandamizi wa kuvunja imani inayofunsdinshwa!
Tatizo sio sadaka mkuu ni pale unapotoa sadaka kwa mategemeo nje ya sadaka hiyo!.. Yesu aliwapokea watu waliokuwa mafisadi lakini baada ya kuwaona wanatafuta mwanga!... Yesu asingeweza kupokea fedha za tajiri ambaye anataka Yesu abadilsihe mwelekeo wa mafundisho yake! ati ajaribu kuwaunganisha wasioamini na wanaoamini wawe kitu kanisa moja..
Tena basi anayezungumza ndiye Pilato mwandamizi wa kuvunja imani inayofunsdinshwa!