Ni lile anaposali Spika Samwel Sitta... (KKKT Kinondoni).
Aichangia kwaya Tshs Milioni 7...
Amalizia na kuwaomba waumini kuiombea nchi kwani iko kwenye kipindi kibaya cha watu kutafutana uchawi na kuonesha hali si shwari nchini.
Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!
We hujui utamu wa pesa. Pesa ya fisadi inapotoka, mpokeaji humwona mtoaji si fisadi na kanisa ndio kabisa?Huyu fisadi naona ana wasiwasi mkubwa. Kanisa linastahili kuzikataa fedha zake zilizotokana na ufisadi. Huyu jamaa kwanza ni mkristo au ndiyo mfa maji...?
we unahisi makanisa yamewekwa ili yafanye nini kama sio kukusanya fedha pasipo kujali ya kahaba,haramia,tapeli,jambazi na pesa zote chafu na safi unazozijua,Suleiman Musindi alishasema hata achinjwe mtu na pesa ipakwe damu watu wataifuta na kuitumia!!Usiogope ndio hali halisi!!kanisani nao wakapokea za ufisadi, Yesu na Maria na Yosef!
Nina hakika kabisa 100/100 sadaka zake hazikuchanganywa na za waumini wengineNi lile anaposali Spika Samwel Sitta... (KKKT Kinondoni).
Aichangia kwaya Tshs Milioni 7...
Amalizia na kuwaomba waumini kuiombea nchi kwani iko kwenye kipindi kibaya cha watu kutafutana uchawi na kuonesha hali si shwari nchini.
Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!
kumbe alituibia milion Saba? sasa karudisha tumeishana tayari auto?Mkuu hii ni hela yetu wenyewe tuliyoibiwa sasa kuna ubaya gani kama mwenyewe ameamua kuturudushia kiaina?