wajerumani walipata mashinikizo mengi sana, baada ya vita za dunia na wao kupoteza makoloni yao.wameficha documents, na tresures nyingine nyingi tuu ambazo si lazima ziwe vito vya thamani.Waliweka mahandani yenye silaha, waliweka plans zao, na walimap vizuri kiasi cha kuwafanya wajerumani waliopo Ujerumani kuweza track hizo sites.Wenzetu walijuwa kubeba hivyo vitu kwa kipindi kifupi kilichokuwepo haikuwa salama njiani, na isingewasaidia kurudi baadaye, pia hawakuw ana hakika wangefikisha kwako vitu vyote kam serikali yao iliyokuwa chini ya HItler ingeweza vitumia vyema.
Kuna tetesi kuwa wazee waliowasindikiza walipochimba mashimo walifukiwa na kufia hukohuko ili siri zife nao.Wabongo wamekuwa wakiogopa sana hizo sehemu kw akuhusisha na mizimu.Kuna majaribio nchi nzima ya kutumia uganga na mambo mengine kw aiamni kuwa wajerumani walitambika watu iliw alinde hayo maendeo.Hii imechnagia sana mauaji ya wazee na watoto na albino ili kupata chambo ya kutambika.Ukweli ni kwamba wajerumani wali encode traces na instructions zao.Ndio maana wenztu wanatumia muda mrefu kuja huku kujitolea na kuweza test kama wamezielewa na usahihi wake.
Mwana mfalme anaweza umbuka akikuta madini, mabomu , na mengine.Pengine serikali ilipasw alinda hayo maeneo na ili wabongo wasivuruge mpangilio, ili wataalamuw etu wa mambo ya kale na tamaduni za dunia waje decode.Tunaweza pata elimu kubwa sana kwa taifa pamoja utajiri.kama Spain walipokuja juu baad ya mataifa kugundua meli zilizozama na dhahabu ambao wafanyabiashara wa kihispania walipozama nazo.Ingawa debate inaweza kuwepo km kweli wan auhalali au walipora.
Kwa ujinga wa magamba watakwenda haibu vitu bure tu kama kenge aingiapo ktk kiota cha ndege huwa naavuruga kila kitu kabla ya kul amayai na makinda kama yapo.Mbaya wajerumani wanakuja kwa fujo kutufadhili ktk kila nyanja.Haswa maji kwani maji huanzia milimani, penye mapango na mahandaki, na afya ili wafike vijiji vilivyochoka na vyenye historia .
Wasomi wa UDSM wapo busy kufanya tafiti za mamabo yanayorudia kwani hayo ndio wanayoweza jiaminisha hata jinsi ya kuandaa tafiti.hakuna mwenye ni aya ku unlock the mysteries behaind german practices in Tanzania.