uchawi ni laana, tena mbaya sana.wazee wetu kama wasingeangalia vitu kwa jicho la uchawi, wangefanya mangi sana, na kuondoka kwa wajerumani kungewaachia utajiri mkubwa sana.
Nasikitika sana kwa hilo, ni aibu kubwa sana ukienda mikoa ya singida, kigoma, lindi hadi mtwara, kondoa hadi maeneo ya kigoma, vijana wadogo wanashindana uchawi.Bado wasomi wao wanakuja na umbea kuwa wanabaguliwa wakati nguvu kazi haina fikra mbadala, na imeishia ktk uchawi.Wakati watu wanachimba madini kisayansi kw akujua miamba, hawa ndugu zetu wanatambika na kuanza chimba.
Naomba msinione mimi mkabila, ktk kusoma hitoria ya Ukristu ktk Mkoa wa kilimanjaro kupitia wamissionary wa kijerumani.Walikuwata mazingira fulani ambayo yalifanya Ukristu ukue haraka,ingawa walipata shida sana kumfanya mwafrika mkistu kamili kwa muda wote.Bado waafrika walibaki kuwa na dini mbili ya asili na Ukristu na hilo ni wazi hadi leo kwa africa nzima.Ila hilo halikufanikiwa ktk jamii nyingine, kwa vile wachaga walikuwa na tamaduni za mungu moja Iruwa na social structure fulani ambayo ni well organised.
Sasa hawa wenzetu hawakuwa hivyo ndio maana ni wepesi sana kutawalika,ni wepesi sana kukimbizana na vitu visivyo na maana.Inawezekana dogo kwa vile haya anayasikia tuu kwa wato walioishi maeneo ya namna hiyo basi akaamua nunua hiyo habari vyema, au hata kafuata uchawi tuu.habri za watu kukalia mamba kama vitu huko ktk visiwa vya ukerewe inaweza kuwa ni habari nzuri sana kwake.Kw aujumla ni aibu kwa malengo yote.Kwani kama msomi angetakiwa kuja na mitizamo ya kisomi, hata kama shule yake ilikwenda ki prince prince ilimadi alihudhuria.
Watanzania tunapenda uchawi, ni rahisi sana mtu ukamueleza shida yako akarukia hangaika ndugu yangu, mimi sijui nilihangaika unaona mambo yangu?we zubaa tuu, utateseka bila kikomo.Na mara moja akakuunganishia sijui jamaa yake nani huku akimwomba kabisa kuw andugu yake ana shida na anahitaji msaada kama wake.mara nyingine watanzania wanaish na waganga ili wawape huduma hapo kwa hapo na huku akimsaidia kudaka wateja ktk circle ya marafiki au co workers.