Haya ni mambo ya mysticism kama kwa Greeks na zile Myths zao!.Poor thread from Mzee Mwanakijiji.
Hawa jamaa si walikuwa na mkutano
![]()
I love JF.
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa wakerewe toka 1918 wanaiangalia hiyo mali wakati wenyewe masikini?
Hilo jiwe linaitwa "Nyabhurebheka" linacheza ndobolo balaa!.Mkuu CAMARADERIE, hilo ndilo lile jiwe linaloitwa Nabulebeka?
Hebu tupia na picha ya ule mti ulioangushwa chini kwa misumeno na wapasua mbao, then kesho yake wakaukuta umesimama ilihali matawi yake ya juu yamekatwa na msumeno wao pale mti ulipokuwa chini.
Nasikia pia kuna mti kando ya Ziwa Vicky ambao majani yake yakipukutika yakidondoka na kugusa maji ya Ziwa kila jani linageuka Mamba.
Ukerewe usipime kwa ulozi!
EMT wewe ni chiboko....una picha za mapango yote ya huko, he he he!.
na Jovither Kaijage, Ukerewe
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, ameshangazwa na kushitushwa na jiwe la ajabu lililopo katika Kijiji cha Nyamanga katika Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe, linaloimbiwa na kucheza na kuahidi kulitangaza ili liweze kuchangia pato la taifa.
Ahadi hiyo aliitoa juzi baada ya kutembelea jiwe hilo vikiwemo vivutio kadhaa vya utalii vilivyopo katika Wilaya ya Ukerewe ambapo pia aliziagiza halmashauri za wilaya mkoani humo kutambua na kutunza vivutio hivyo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Akiwa eneo la jiwe hilo lililo kando ya Ziwa Victoria, Kandoro alishuhudia jiwe hilo linalokadiriwa kuwa na uzito wa tani 2,000 likiimbiwa na kucheza, kitendo ambacho kilishangaza wengi waliofika kushuhudia maajabu hayo. Mmoja wa wana ukoo wa Rwakatimba wanaotunza mila na desturi ya jiwe hilo, mzee Magesa Makolokolo (90), mbali ya kueleza historia yake pia ndiye mwenye jukumu la kuimbia jiwe hilo licheze. Katika taarifa yake pia aliomba serikali imsaidie gharama za uendeshaji na kutunza mila hiyo, kwa kuwa kila mwaka linafanyiwa tambiko linaloghalimu sh 300,000 na wakati mwingine hushindwa kutimiza sharti hilo kwa kukosa fedha.
Zakumi,
Waonee huruma Wakerewe ndugu zangu. Sidhani kwamba kama wangekuwa na habari za kuwepo hiyo mali wangeendelea kuzubaa. Nimeshaangalia movie nyingi za treasure hunting unakuta wale hunters ni watu waliopata vidokezo kuwa sehemu fulani kumefichwa kitu. Sasa kama Riz katumia influence ya baba yake kujua kuwa kuna mahali Wajerumani walificha kitu, tusiwalaumu Wakerewe. Lakini kama ni kweli hizo mali zipo, basi zinatakiwa kuwa hazina ya taifa na wa kwanza kufaidika nazo ni Wakerewe. Si Riziwani.
Mkuu sasa hiyo himaya ya Watemi ipo kisiwa gani ili na sisi tukaitembelee?.
Hawa jamaa si walikuwa na mkutano
![]()
Mkuu sasa hiyo himaya ya Watemi ipo kisiwa gani ili na sisi tukaitembelee?.