Ridhiwani kaenda Ukerewe?

Ridhiwani kaenda Ukerewe?

Ntakuwa wa mwisho kuchangia, kwa sasa naficha.....!
 
Hawa jamaa si walikuwa na mkutano
attachment.php
 

Attachments

  • 577989_397540506990104_929210497_n.jpg
    577989_397540506990104_929210497_n.jpg
    50.1 KB · Views: 3,798
Kwani kuna tatizo lolote Ridhiwani kwenda ukerewe? Wewe mbona upo Marekani.
 
Nilichosikia ama kinachosemwa ni kuwa Riz alienda Ukerewe katika kisiwa Kidogo cha Ukara, huko alikuwa na lengo la kupelekwa katika jengo la Zamani la Mjerumani.


Inadaiwa ili kufanikisha lengo alienda na gear ya kutaka Uganga (kwa mtu huyo) na akaingiza na hiyo ya kutaka apelekwe hapo mahali kwenye hiyo nyumba waliyokuwa wanakaa wajerumani akidai kuna mali nyingi zimefichwa hapo, lakini aliyemtaka kumpeleka alimgomea akidai hajui lolote na kwamba naye ndio kwanza anayasikia toka kwake. Labda walioko huko watujuze zaidi....

Kisiwa cha UKara hakuna JENGO LOLOTE LA MJERUMANI.

Maajabu ya Ukara kuna JIWE LINALOCHEZA (A DANCING STONE). Hili jiwe liko katika ya maji ya ziwa Victoria. Ili licheze lazima kwanza litambikiwe na wa/mzee maarufu wa kimila. It is the only tourist attraction iliyopo Ukara. Labda na wale mamba (crocodiles) wala watu! (don't quote me for the latter statement).
 
Nilichosikia ama kinachosemwa ni kuwa Riz alienda Ukerewe katika kisiwa Kidogo cha Ukara, huko alikuwa na lengo la kupelekwa katika jengo la Zamani la Mjerumani.


Inadaiwa ili kufanikisha lengo alienda na gear ya kutaka Uganga (kwa mtu huyo) na akaingiza na hiyo ya kutaka apelekwe hapo mahali kwenye hiyo nyumba waliyokuwa wanakaa wajerumani akidai kuna mali nyingi zimefichwa hapo, lakini aliyemtaka kumpeleka alimgomea akidai hajui lolote na kwamba naye ndio kwanza anayasikia toka kwake.


Labda walioko huko watujuze zaidi....

Niliposikia dogo ameenda Ukerewe kwanza nilihisi vitu 2, cha kwanza ni labda UK, cause watu wa Mwanza ukisikia wanavyo iita Ukerewe huwa wanasema UK so i thought dogo ameenda Uingereza, wazo hilo likawa halipati sana kibali moyoni mwangu cause kwa Prince kwenda kwa malkia sio breaking news, kwake huko ni kama mimi ninavyo kuona Kariakoo au Posta, si tulisikia hata mtoto wa former PM alinunua nyumba city centre kabisa kwa paund 450,000/=, wazo lililopata sana kibali ni hapo kwenye RED, issue ni hii, dogo nae kaumia mguu/miguu? cause huko kuna masangoma wanatibu mifupa balaa, kwa matatizo mengine ya kisangoma, dogo kwao si Bagamoyo? Kwanini tena UK?
 
Nilichosikia ama kinachosemwa ni kuwa Riz alienda Ukerewe katika kisiwa Kidogo cha Ukara, huko alikuwa na lengo la kupelekwa katika jengo la Zamani la Mjerumani.


Inadaiwa ili kufanikisha lengo alienda na gear ya kutaka Uganga (kwa mtu huyo) na akaingiza na hiyo ya kutaka apelekwe hapo mahali kwenye hiyo nyumba waliyokuwa wanakaa wajerumani akidai kuna mali nyingi zimefichwa hapo, lakini aliyemtaka kumpeleka alimgomea akidai hajui lolote na kwamba naye ndio kwanza anayasikia toka kwake.


Labda walioko huko watujuze zaidi....

Nchi hii imejaa wana siasa vigagula? Maana Ukerewe kuna mawe yanacheza dansi kule,lol!
 
KWA KABILA LAKE! NA MAKUZI ALIYOKULIA, SISHANGAI HABARI ZA ULOZI!! NI DHAHAMA KWA TAIFA! KUABUDU miungu mingine!!
 
Mwanakijiji nafikiri hutendei haki uzi wako naona ni vema ukaweka hapa ulichokisikia tupate wachangiaji ili tupime kama kuna hoja au la la sivyo utabaki kuwa ni umbea na uchonganishi au mambo ya kuzaniwa zaniwa yasiyo na tija.
 
...kuna kijana aliniambia amewahi kwenda Kondoa pia, kuna mapango ambayo inasemekana kuna mali za Mjerumani...
 
Kweli huku ni kufirisika kwa hoja.

Sioni mantiki ya kuuliza suala hili kwani Ridhwani ana haki kamili ya utembelea popote anapotaka ndani na nje ya Tanzania ili mradi tu afuate taratibu zilizowekwa kisharia.

Pole sana
 
Mashehe wote na wachawi anaowatumia kumrogea sijui kumrogesha huko bagamoyo hawatoshi ama wamedunda? Sasa ukara laba kaende kwenye mashetani yaliyoko kwibutuke!
 
Back
Top Bottom