Ridhiwani kaenda Ukerewe?

Ridhiwani kaenda Ukerewe?

Kama mizimu inaongoza bagamoyo yote wangekuwa wasomi na matajiri lakini ndio masikini wakubwa tz
 
Nishafika huko na ushuhuda wangu huu hapa. lol.

nyaburebeka.JPG


Mkuu unapoambiwa kuwa hii nchi ni tajiri usidharau.

Tembelea nchi uuone utajiri wake.

makumbusho+ya+watemi+ukerewe.+(1).JPG


Hapa ni pembezoni mwa himaya ya makumbusho ya watemi wa Ukerewe. Eneo zima halina mlinzi yoyote.

Wako katika taifa lenye "rasilimali za kumwagiruru mpaka kusaza".
Mkuu EMT,unatufahamisha kuwa wewe ndio G Sengo?
 
Back
Top Bottom