RC kutangaza jiwe linalocheza

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
na Jovither Kaijage, Ukerewe



MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, ameshangazwa na kushitushwa na jiwe la ajabu lililopo katika Kijiji cha Nyamanga katika Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe, linaloimbiwa na kucheza na kuahidi kulitangaza ili liweze kuchangia pato la taifa.
Ahadi hiyo aliitoa juzi baada ya kutembelea jiwe hilo vikiwemo vivutio kadhaa vya utalii vilivyopo katika Wilaya ya Ukerewe ambapo pia aliziagiza halmashauri za wilaya mkoani humo kutambua na kutunza vivutio hivyo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Akiwa eneo la jiwe hilo lililo kando ya Ziwa Victoria, Kandoro alishuhudia jiwe hilo linalokadiriwa kuwa na uzito wa tani 2,000 likiimbiwa na kucheza, kitendo ambacho kilishangaza wengi waliofika kushuhudia maajabu hayo. Mmoja wa wana ukoo wa Rwakatimba wanaotunza mila na desturi ya jiwe hilo, mzee Magesa Makolokolo (90), mbali ya kueleza historia yake pia ndiye mwenye jukumu la kuimbia jiwe hilo licheze. Katika taarifa yake pia aliomba serikali imsaidie gharama za uendeshaji na kutunza mila hiyo, kwa kuwa kila mwaka linafanyiwa tambiko linaloghalimu sh 300,000 na wakati mwingine hushindwa kutimiza sharti hilo kwa kukosa fedha.
 
Hili litakuwa ajabu kuu la dunia. RC asije akakurupuka kumbe ni mambo ya mazingaombwe.
Bora akae :tape:.
 
na Jovither Kaijage, Ukerewe



MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, ameshangazwa na kushitushwa na jiwe la ajabu lililopo katika Kijiji cha Nyamanga katika Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe, linaloimbiwa na kucheza na kuahidi kulitangaza ili liweze kuchangia pato la taifa.
Ahadi hiyo aliitoa juzi baada ya kutembelea jiwe hilo vikiwemo vivutio kadhaa vya utalii vilivyopo katika Wilaya ya Ukerewe ambapo pia aliziagiza halmashauri za wilaya mkoani humo kutambua na kutunza vivutio hivyo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Akiwa eneo la jiwe hilo lililo kando ya Ziwa Victoria, Kandoro alishuhudia jiwe hilo linalokadiriwa kuwa na uzito wa tani 2,000 likiimbiwa na kucheza, kitendo ambacho kilishangaza wengi waliofika kushuhudia maajabu hayo. Mmoja wa wana ukoo wa Rwakatimba wanaotunza mila na desturi ya jiwe hilo, mzee Magesa Makolokolo (90), mbali ya kueleza historia yake pia ndiye mwenye jukumu la kuimbia jiwe hilo licheze. Katika taarifa yake pia aliomba serikali imsaidie gharama za uendeshaji na kutunza mila hiyo, kwa kuwa kila mwaka linafanyiwa tambiko linaloghalimu sh 300,000 na wakati mwingine hushindwa kutimiza sharti hilo kwa kukosa fedha.

Hilo Jiwe ndio hili kwa mujibu wa G.Sengo

nyaburebeka.JPG
 
na Jovither Kaijage, Ukerewe

Akiwa eneo la jiwe hilo lililo kando ya Ziwa Victoria, Kandoro alishuhudia jiwe hilo linalokadiriwa kuwa na uzito wa tani 2,000 likiimbiwa na kucheza, kitendo ambacho kilishangaza wengi waliofika kushuhudia maajabu hayo.
Kwamba eti lina tani buku mbili!

Hebu...

nyaburebeka.JPG


Hapana... mi nimekataa, halina tani 2,000 hili!
 
haya masuala ni ya Kisayansi na Kijiografia zaidi, sio kupiga mluzi, wabongo tunapenda sana njia za mkato. eti kupiga mluzi!!
 
I think there could be NO miracle here! The rock is experiencing unstable equilibrium in its state of rest. Its centre of gravity is mostlikely in such a way that it is not at the centre of the body. Remember your O-Level physics, you can have stable and unstable equilbrium...

The rock is like pivoted somewhere due to erosion at its base. As this erosion continues for some years (say hundreds from now), the base can be flattened and it will, with time come to its rest (no more simple harmonic mitions).

The question of siging for the rock is impractical. What i can guess is that before someone signs, a small force must be applied against the rock for its to start moving to and fro. When unstable (as stated above), a little energy is needed to make it start moving, even a 4 yr old boy / girl can make it move. So, i think before the person signs, he/she applies a little energy that may note be considered significant! It is...!

If you want to prove what i am saying, live a litle more hundreds of years or a bit less....!
 
Ni kwel mkuu hlo jiwe lipo na likiimbiwa linacheza na ni la zaman nashangaa habari ndio zinaenea

Mwenyewe nashangaa same thing, yani kuna matatizo muhimu katika hii nchi watu wanazungumzia babu,dada,bibi,kaka, sasa JIWE??!!!
Are we serious eti jiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom