بسم الله الرحمن الرحيم
الحمد لله الذي بنعمته تتم الصالحات والصلاة والسلام على أشرف الأنبياء والمرسلين
وبعد
التوبة
Taubah
قال العلماء
Wanasema ulamaa
: التوبة واجبة من كل ذنب،
Taubah ni wajibu kwa kila dhambi
Taubah haina dhambi ambazo ndizo wajibu na dhambi za aina fulani zikawa na nafasi kwa mtendaji asitubie
فإن كانت المعصية بين العبد وبين الله j تعالي، لا تتعلق بحق آدمي؛ فلها ثلاثة شروط.
Kama yatakuwa maswiya ni baina ya mja na Allah alie tukuka yakawa hayafungamani na mwanadamu basi Taubah itakuwa na sharti Tatu
أحدها
Moja yake
: أن يقلع عن المعصية
Ajivue katika maswiya
. والثاني:mbili
أن يندم على فعلها.
Ujutie kwa kuyafanya hayo maswiya
والثالث
Tatu
: أن يعزم أن لا يعود إليها أبداً.
Aweke azma yakutokurudia na kurudi katika maswiya
فإن فقد أحد الثلاثة لم تصح توبته.
Kama litakosekana moja ya sharti hizi Tatu Taubah haita swihi
Hiyo ni kwa makosa na madhambi ambayo mwanadamu kayatenda kwa Allah na hayana mafungamano na kiumbe mwanadamu
وإن كانت المعصية تتعلق بآدمي فشروطها أربعة
Kama maswiya hayo yatakuwa yanafungamana na mwanadamu basi Taubah hapo itakuwa na masharti manne
: هذه الثلاثة
Hizi Tatu tulizo zitaja hapo juu
، وأن يبرأ من حق صاحبها،
Na Ajivue na haki ya mwenye nacho kwa kukirejesha kama kitakuwa cha kuchukulika au namna nyingine
فإن كانت مالاً او نحوه رده إليه
Kama ikiwa Mali au mfano wake atarejesha kwake (mwenye Mali)
Kama atakuwa kamsingizia uchafu wa zinaa au mfano wa uzushi mwingine wa mambo machafu ya kitabia na kimaadili atamueleza na amtake msamaha
Kama alimsengenya ambambie maneno aliyo kuwa akiyasema wakati hayupo
ويجب أن يتوب من جميع الذنب،
Na inamlazimu mtu kutubia kwa madhambi yote
. وقد تظاهرت دلائل الكتاب والسنة وإجماع الأمة على وجوب التوبة
Kwa hakika zimeenea dalili katika kitabu na suna na ijmaa ya ulamaa juu ya ulazima wa Taubah
: قال الله تعالي
Kasema Allah alie tukuka
🙂 وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعاً أَيُّهَا الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ)
Tubieni kwa Allah nyote enyi waumini mupate kufualu
(النور: من الآية31)
وقال تعالي
🙂
وَأَنِ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ ثُمَّ تُوبُوا إِلَيْهِ
Mumtake maghfira mola wenu kisha mtubie kwake
) (هود: من الآية3)
وقال تعالي
🙂
Na Kasema Allah
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا تُوبُوا إِلَى اللَّهِ تَوْبَةً نَصُوحاً) (
Enyi mlio amini Tubieni kwa Allah Taubah ya kweli
التحريم: من الآية8) .
Hizi zote ni dalili zinazo onyesha ulazima wa Taubah na nyingine nyingi
Itaendelea.........
أخوكم في الله أبو سهيل أحمد علي محمد السلفية
كن السلفيا عل الجادة
Link ya channel ni hii
منهج الأنبياء