Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,419
- 104,867
Ndugu zetu Waislam....
Mkiwa mpo mnaendelea na Ibada hii ya funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mkumbuke kuwa kuna Mambo mnatakiwa mjiepushe Nayo.
Kama:-
1.Tabia Mbaya na maneno maovu Mfano wa kusengenya, kusema uongo n.k (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).
2.Kulala sana kwani kulala huko kunatupotezea Fursa za kufanya Ibada ya Kusoma Qur an na Ibada Nyenginezo (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).
3.Kupoteza wakati mwingi katika michezo na maongezi yasiyo na faida Vijiweni.
Kwa.....
Kucheza Bao, karata na kuacha kuutumia wakati huo katika kazi na ibada mbali mbali Mfano kuhudhuria Darsa Misikiti kipindi cha Swala ya Alasiri au kwa Mujibu wa Ratiba za Masheikh wasimamizi wa Darsa hizo (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).
Mkiwa mpo mnaendelea na Ibada hii ya funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mkumbuke kuwa kuna Mambo mnatakiwa mjiepushe Nayo.
Kama:-
1.Tabia Mbaya na maneno maovu Mfano wa kusengenya, kusema uongo n.k (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).
2.Kulala sana kwani kulala huko kunatupotezea Fursa za kufanya Ibada ya Kusoma Qur an na Ibada Nyenginezo (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).
3.Kupoteza wakati mwingi katika michezo na maongezi yasiyo na faida Vijiweni.
Kwa.....
Kucheza Bao, karata na kuacha kuutumia wakati huo katika kazi na ibada mbali mbali Mfano kuhudhuria Darsa Misikiti kipindi cha Swala ya Alasiri au kwa Mujibu wa Ratiba za Masheikh wasimamizi wa Darsa hizo (Mwezi huu sana na baki ya miezi ).