Dudukwe
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 323
- 566
Sisi huku porini hata hatuelewi nini kinaendelea huko mjiniDudukwe umetisha😁😁
Sisi huku porini hata hatuelewi nini kinaendelea huko mjiniDudukwe umetisha😁😁
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
#Lakini Rais William Ruto akiwa so calm, carefully and diplomatically ktk matamshi yake anajibu kusema"
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto
Na uzuri amevuna alichopanda kwa mitusi ile sijui kama atakuja kuwachokoza tena manyang'au wale wamepinda kweli kweli.Tulisema hapa JF, ile kauli ya Samia haikuwa kauli sahihi kuhusu wakenya, kidiplomasia ilikuwa ni kauli ya kulishambulia taifa nzima la Kenya. Hakupaswa kufanya vile. Mama yetu aliteleza.
Inaonyesha huelewi.Hiyo alikuwa hamjibu Samia bhana. Watu wanaokoteza okoteza tu vitu .
Sawa, nabaki kwenye pointi yako.Baki kwenye point yangu. Kauli inayosemwa ni ya December haina uhusiano na matukio ya juzi. Hakuna sehemu nimesema amefurahia. Lazima atakuja kujibu maana akikaa kimya atawapa sababu Gen Z
huyo ni mama yako mwenyewe sio wote.Tulisema hapa JF, ile kauli ya Samia haikuwa kauli sahihi kuhusu wakenya, kidiplomasia ilikuwa ni kauli ya kulishambulia taifa nzima la Kenya. Hakupaswa kufanya vile. Mama yetu aliteleza.
huyo ni mama yako mwenyewe sio wote.Tulisema hapa JF, ile kauli ya Samia haikuwa kauli sahihi kuhusu wakenya, kidiplomasia ilikuwa ni kauli ya kulishambulia taifa nzima la Kenya. Hakupaswa kufanya vile. Mama yetu aliteleza.
No president would be happy to be disrespected. We don’t know what he’ll say, but it’s not right to use old statements and pretend they are new. I was correcting the person who said that quote was a response to the recent event.Sawa, nabaki kwenye pointi yako.
Sasa nieleze, ni kipi ambacho Ruto atabadili katika hayo aliyo sema Decemba, ambayo yangeendana na kumjibu Samia.
Ruto atasema anakubaliana na aliyo sema Samia kuhusu kuharibika kwa Kenya?
ni vizuri wakenya wakajikita na kujishughulisha na kilimo msimu unaelekea kwisha, watakosa chakula tena kwasabb ya uvivu na kushupalia vitu nonsense, halafu tena waanze kuandamana na masufuria kichwani kuomba unga ikulu ya kenya 🐒Kiroho kimekuuma ona unavyokosea hata kuandika.😸
I've no further questions on this. But I believe there's more to follow.I trust my point has found its place, but should doubt linger, you're welcome to ask with grace.
Further developments are expected, as continued silence from those nations could be interpreted as implicit endorsement of the remarks. Such a perception may have negative implications for their domestic constituencies. To preserve diplomatic standing and national dignity, they will likely issue a formal response.I've no further questions on this. But I believe there's more to follow.
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
View: https://youtu.be/LI58lCwODxQ?si=3O5x8UYnDDmWtSL7
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
#Lakini Rais William Ruto akiwa so calm, carefully and diplomatically ktk matamshi yake anajibu kusema"
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto
Ametangulizwa mbele ya hakiWatu mnapenda ugomvi,kwamba huyo diwani ndo bwana Luka baada ya kumaliza kububujikwa akatwaliwa🤓🤓🤓
Mleta mada ametumia video ya zamani kupotosha watu.Kama Ruto amekasirishwa na matamshi ya Samia tunatakiwa kusubiri kauli yake na sio kutumia video za zamani kupotosha jamii.Kwa hiyo tusemeje, kwamba Ruto ameifurahia kauli ya Samia?
Sasa vuta subira, maana huyo Ruto naye kichwani hazimtoshi. Siku siyo nyingi utasikia akibwartuka; hata zaidi ya huyo Chura Kiziwi.
Ningekujibu kwa staha katika hayo uliyo andika huko juu, na ungeelewa vizuri.Mleta mada ametumia video ya zamani kupotosha watu.Kama Ruto amekasirishwa na matamshi ya Samia tunatakiwa kusubiri kauli yake na sio kutumia video za zamani kupotosha jamii.
Acheni UPUMBAVU wa kuleta na kutetea mambo ya uongo hapa jf.