kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 3,243
- 4,794
Mbona Ruto huwa sioni jina lake likianza na Dr.Ruto ni PhD ya kweli kasomea darasani acha kumlinganisha na huyo muimba taarab!!.
Mbona Ruto huwa sioni jina lake likianza na Dr.Ruto ni PhD ya kweli kasomea darasani acha kumlinganisha na huyo muimba taarab!!.
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
#Lakini Rais William Ruto akiwa so calm, carefully and diplomatically ktk matamshi yake anajibu kusema"
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto
chawa aka takatakaKuna aliyemuona Lucas Mwashambwa Tangu asubui?
"Rais huwa hakosei"Tulisema hapa JF, ile kauli ya Samia haikuwa kauli sahihi kuhusu wakenya, kidiplomasia ilikuwa ni kauli ya kulishambulia taifa nzima la Kenya. Hakupaswa kufanya vile. Mama yetu aliteleza.
Cheo cha kisiasa ni kikubwa kuliko cha kitaaluma, kwa sasa, yeye ni Rais wa Jamhuri ya Kenya, na cheo cha Rais huwa kinatangulia na kuondoa haja ya kutumia cheo cha Dr.Mbona Ruto huwa sioni jina lake likianza na Dr.
Kila binadamu anakosea."Rais huwa hakosei"
- SSH, 2021
Hakuna kibaya kingetokea...Kwani wangewaacha waudhurie mahakamani na kuondoka kwani kungetokea madhara yeyote?
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
#Lakini Rais William Ruto akiwa so calm, carefully and diplomatically ktk matamshi yake anajibu kusema"
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
#Lakini Rais William Ruto akiwa so calm, carefully and diplomatically ktk matamshi yake anajibu kusema"
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto
Huna hoja Kaa kimyaHiyo alikuwa hamjibu Samia bhana. Watu wanaokoteza okoteza tu vitu .
Kiroho kimekuuma ona unavyokosea hata kuandika.😸waKenya hata waandamane na masufuria vichwani kudai ugali, Tanazania hatutavumilia ugaidi wao humu nchini.
waTarudishwa makwao bila kujali mayowe wala matusi yao 🐒
Una ubavu WA kushinda na mkenya .chumvi Tu unayotumia inaitwa KEN salt .Atatokea WA kuwaambia kama hawatakuwa na maadili. Kwanza wametuanza wenyewe. Sisi always tupo calm Kabisa. Hatuna issue nao. Hata wauane huwa hatupigi kelele. Juzi hapa wameandamana wakachoma jengo la bunge hakuna aliye wakemea. Kila mmoja aishi kwa mipaka yake. Mheshimiwa Rais samia kuwajibu no alarm kuwa hatuwezi vumilia chokochoko zao. Wakae kwa kutilia kama walikuwa wanatikisa kiberiti basi Wajue kimejaa. Fucken kabisa
Kwa hiyo tusemeje, kwamba Ruto ameifurahia kauli ya Samia?Havina uhusiano. Hiyo kauli ni ya siku ya jamhuri December 12, 2024.
Imeunganishwa tu kwa dhumuni maalum.
Baki kwenye point yangu. Kauli inayosemwa ni ya December haina uhusiano na matukio ya juzi. Hakuna sehemu nimesema amefurahia. Lazima atakuja kujibu maana akikaa kimya atawapa sababu Gen ZKwa hiyo tusemeje, kwamba Ruto ameifurahia kauli ya Samia?
Sasa vuta subira, maana huyo Ruto naye kichwani hazimtoshi. Siku siyo nyingi utasikia akibwartuka; hata zaidi ya huyo Chura Kiziwi.
Kuna mtu atakufa njaaKwa hiyo tusemeje, kwamba Ruto ameifurahia kauli ya Samia?
Sasa vuta subira, maana huyo Ruto naye kichwani hazimtoshi. Siku siyo nyingi utasikia akibwartuka; hata zaidi ya huyo Chura Kiziwi.