william

William is a male given name of Germanic origin. It became very popular in the English language after the Norman conquest of England in 1066, and remained so throughout the Middle Ages and into the modern era. It is sometimes abbreviated "Wm." Shortened familiar versions in English include Will, Willy, Willie, Bill, and Billy. A common Irish form is Liam. Scottish diminutives include Wull, Willie or Wullie (see Oor Wullie or Douglas for example). Female forms are Willa, Willemina, Willamette, Wilma and Wilhelmina.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Joseph Mbilinyi arejesha Fomu ya kugombea Uenyekiti Kanda ya Nyasa, Asindikizwa na William Mungai

    Bwana Sugu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , leo Amerejesha fomu ya kuomba uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Bilionea huyo amesindikizwa na Umati wa Matajiri wa Kanda hiyo kutoka Kyela, Mbeya yenyewe, Njombe na Iringa. Hali ilikuwa hivi .
  2. MSAGA SUMU

    William Ruto hana maadili msibani

    Kuna baadhi ya vitu hutakiwi kufanya ukiwa msibani wewe ndg William Ruto kimoja wapo ni kuonesha sura ya furaha msibani.
  3. M

    Makonda azuru kaburi la Benjamin Mkapa

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amezuru kaburi la Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin William Mkapa Kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara. Mwenezi Makonda aliyesitisha ziara yake Mkoa wa Ruvuma na Mtwara kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu Edward...
  4. Burkinabe

    Wakenya walitamani Hayati Magufuli angekuwa Rais wao, wamempata Ruto

    Ndugu zangu wana JF, ni matumaini yangu mko sawa kabisa. Rejea kichwa cha mada chahusika. Hawa majirani zetu walitamani sana Hayati JPM angekuwa Rais wao enzi za uhai wake. Binafsi naona kama maombi yao yamejibiwa na Mungu kawajalia kumpata William Samoei Ruto, ambaye ana sifa karibia sawa...
  5. BARD AI

    Rais William Ruto ashusha gharama za Bima ya Afya

    Rais #WilliamRuto amesema Serikali itafanya mabadiliko kwenye gharama za matibabu kwa Wananchi wa kipato cha chini wanaotumia Bima ya Mfuko wa Bima wa Taifa (NHIF) ambapo waliokuwa wanalipa Tsh. 8,201 kwa mwezi wataanza kulipa Tsh. 4,921. Ruto ameongeza kuwa Wananchi ambao hawana uwezo wa...
  6. Nyani Ngabu

    William Rutto kumbe naye ni wa hovyo hovyo tu

    Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen! Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe...
  7. K

    William Ngeleja jiandae 2025 Rudi Bungeni

    Kwa wafuatiliaji wa siasa haswa Za Kanda ya Ziwa. Kuna huyu Jamaa. Kama mnavyokumbuka Alikua ni Kati ya Game makers wa Siasa haswa Za Mkoa wa Mwanza. Ni Kati ya wasomi mahiri tulionao lakini alijikuta akidondokea pua mwaka 2020 kutokana na Mambo ya Hayati. Kwa mambo yalivyo pale Senger ma ipo...
  8. Econometrician

    Rais Ruto awahimiza Viongozi wa Afrika kuacha kutumia dola katika biashara zao

    Right Nyerere na Gadafi wangefufuka Leo wangempa nishani William Ruto kwa kuendeleza jitihada za kuikomboa Africa. William Ruto ameendelea na speech zake za kuhimiza viongozi wenzake kuacha kutumia USD katika biashara za wao kwa wao na kuhimiza kutumia yu pale wanapofanya trade na USA. Msikilize...
  9. M

    My American Experience: Autobiography by William Malecela

    Tukielekea 40 ya Mzalendo nguli. Tumuenzi Kwa kusoma kitabu chake cha My American Experience. U know! Tutakukumbuka daima bro.
  10. B

    William Ruto, Rais wa Kenya: Waafrika tuachane sasa na malipo ya kutumia Dola

    Ni muda muafaka sasa kuachana na malipo ya Dola ya Marekani. By William Ruto. Rais wa Kenya, William Ruto ametoa ushauri huo kwa viongozi wa Afrika akisema ni muda wa kuanza kuchukua hatua ya kuachana na malipo ya fedha kwa kutumia Dola ya Marekani badala yake kuwepo na mfumo wa malipo wa...
  11. Wadiz

    Hayati William "Le Mutuz" Malecela ni mfano wa kuigwa kwa watu wenye akili kubwa

    Le Mutuz ulale kwa amani Kaka. Kipekee kabisa niseme ulikuwa ni mtu wa tofauti hasa kwa mazoea na ufikiri wa watanzania wengi, uliuchukia umaskini, ujinga, uoga, unafiki, tangu utoto wako ulijijenga kwenye falsafa ya kujitegemea na kupambania ndoto zako. Hukubweteka na hadhi ya Baba yako...
  12. Pascal Mayalla

    Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

    Update ya Msiba wa Mwana JF Mwenzetu, William Malecela (Le Mutuz). Kwanza natoa pole sana kwa familia ya Mzee John Malecela kwa msiba mkubwa na mzito wa mtoto wake, William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz, aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Msiba upo nyumbani kwa Baba yake Mzee...
  13. Twilumba

    TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

    Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam. Taarifa za awali zinaonesha marehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
  14. kyagata

    Rais William Ruto alalamika namna viongozi kutoka mataifa ya Afrika wanavyotendewa wakiwa Ulaya na USA

    Hawa watu tukiwa nao huku Africa wanajidai kuishi kama miungu watu. Kumbe huko ulaya na usa hawana muda nao --- President William Ruto has complained over hospitality to African leaders in global summits Ruto said African leaders are in some instances mistreated when they travel abroad to...
  15. Dr Matola PhD

    Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

    Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William. Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah...
  16. D Metakelfin

    William fulton ni nani na taasisi ya mangotree ni kweli inahusika na kuispy Tanzania?

    wakuu naomba kwa mwenye taarifa za huyu mzungu wa mbeya atuelezee vizuri kuhusu mi nnachojua alifukuzwa tanzania mwaka 2015 kwa kosa la kuiba taarifa za mipango ya siri ya KIUCHUMI japo mwenyewe alikana na hata mtoto wake naye amemtetea kuwa si kweli Lakini jamaa anazidi kusisitiza anaomba...
  17. Sooth

    DOKEZO Prof. Esther William Dungumaro na Ubadhirifu wa Fedha MUCE

    Profesa Esther William Dungumaro ni Mkuu (Principal) wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mkwawa (MUCE). Kwa namna anavyoendesha chuo hiki cha umma, inaleta mashaka juu ya uadilifu wa uongozi wake katika masuala ya fedha. Taasisi za umma zinaendeshwa kwa mpango kazi wa kila mwaka na bajeti ya kila kazi...
  18. JanguKamaJangu

    Kenya: Binti wa William Ruto akana kutumia fedha za umma kwa matumizi binafsi

    Ametoa kauli hiyo baada ya kuibuka kwa maneno mengi mitandaoni kuwa taasisi yake binafsi inatumia fedha za umma kuendesha shughuli zake mbalimbali. Tangu kuapishwa kwa baba yake, Septemba 2022 kuwa Rais wa Kenya, Charlene Ruto amekuwa akikutana na viongozi kote Nchini na kuhudhuria makongamano...
  19. Ikaria

    Ahadi 10 za Rais Ruto kwenye sherehe za siku ya Jamhuri

    Huku taifa la Kenya likisherehekea miaka 59 ya uhuru, hotuba ya Rais mpya wa awamu ya tano Dkt. William Ruto ilikuwa ya muhimu sana na kati ya mambo mengi aliyoyasema ni ahadi 10 muhimu; lakini swali la msingi lililobakia kwenye vichwa vya raia wengi ni Je atatimiza ? Hizi hapa ahadi 10 za...
  20. GENTAMYCINE

    Green Guards wa CCM na UVCCM mlipanga 'Kumteka' Mtangazaji wa Wasafi Media (Charles William) ili iweje?

    UVCCM kama kuna Kikundi ambacho Kitawachafua na Kimewachafua ni hiki cha Ulinzi wenu Kiitwacho Green Guards. Nimesoma leo katika Moja ya Gazeti kuwa Watu wa UVCCM kupitia hiki Kikosi chenu kilichojaa Wapumbavu Watupu kiitwacho Green Guards kilikuwa kimepanga Kumteka na Kumdhuru Mtangazaji wa...
Back
Top Bottom