Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

Kwa hiyo ulitaka tuwavumilie watu wanachoma miundombinu kwa kisingizio cha maandamano? Maandamano gani hayana kiongozi? Hayana mabango? Hayana starting point to end point?? Wana loot na kuiba tu!!

Be serious bana!! La sivyo ungerudishwa kwenu sikui ni Itumba au Isoko? We mndali acha porojo
Screenshot_20250823-084911~2.png
 
Ndugu wajumbe.

Ukweli usemwee vizuri tuuu.

Mama yenu anaweza kuwa mtanzania asiye na furaha kabisa maisha yake kwa sasa.

Hata nuru inaishaa ,unaona kabisa huyu mtu ana msongo wa mawazooo.

Wanasaikolojia wamsadie Mshana Jr

Wewe unasemaje Senior.


Mimi akinimba ushauri nitamuambi achia uraisi kpumzikee.kabla mamb hayajawa mgumu kiafya
 
Punguzeni uzushi wenye roho za kibaguzi. Kilichotokea kwa Samia na DP World hakina tofauti na kile kilichotokea kwa Mkapa na TICTS.

Ni biashara ya upangishaji, tupunguze roho za kibaguzi hazitusaidii chochote zaidi ya kujaza hasira kwa vijana wa Gen Z, siku wakiingia mitaani tunashangaa kwanini vijana wana hasira kiasi hiki, kumbe tumewajazia vichwani mwao taarifa nyingi za uzushi zenye kuleta chuki za muda mrefu.
Sio chuki ni ukweli,kipindi hiki kuwadanganya watanzania ni ngumu sana.
Mfano mdogo ni muundo wa tume ya uchaguzi,hilo pia vijana wanajazwa chuki?

Mfano mwinginge ni Mwigulu Nchemba alisema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano kabla na baada ya uchaguzi cha ajabu hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugu zilizotokea kabla na baada ya uchaguzi.

Ili mfanikiwe kuwafanya watu mbumbumbu kama zamani shule za kata zote zifutwe,vyuo vifutwe vibaki vichache vya serikali hapo wenye uelewa watakuwa wachache dili zitapigwa bila kelele
 
Wakifikia Zanzibar hakuna tabu ila Bara watatunyapaa mithili ya kinyesi Hawa wajomba wa mama.

Ziara ya mama baada ya ushindi wa kishindo aliitwa na wajomba?

Nina uhakika aliko ana amani kuliko awapo Tanzania bara wajomba nashauri wafanye tambiko Ili arudishiwe amani ya moyo atawale kwa Amani maana tunajua wajomba ni mama.
 
Back
Top Bottom