Nadhani ungeleta hio video hapa tuione akiwa ameshika mpini na jiwe kiasi kwamba apigwe risasi ya mgongo, na kama inafaa Zaid uende kwenye kaburi lake umuulize kama utaleta picha tukikna Hilo jiwe na mpini. Na je kama wewe unauliza vya nini kama ukileta picha za udhibitisho, mindset ya kuuliza vilikua vya nini inatoa justification Gani wewe kumpiga risasi ya mgongo...Kuna video kabisa ya huyo dada kulia ana jiwe kushoto mpini, video yake mashuhuri hata Larry madowo aliitumia
Kwamba akimalizwa hao kina Abdul watakua wanakula maisha bongo hii? You're joking. Watakua exile wakiishi kwa hofu milele.Hata wewe utakufa, ila yeye Akifa keshaacha Mali za urithi hadi generation ya Tako kutoka generation yake leo
Warrant haijatoka, ikitoka atakamatwa tu. Tusubiri.Ameshaenda They have no Balls to arrest her😂😂😂😂😂😂
Mungu akusamehe sana maana hujui ulitendaloNaona mwashambwa angemwaga nje ingesaidia ...
Chawa unajitia kidole alafu unanusaNdugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Tumepata Rais ,tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele ,tuna kila sababu ya kujivunia Rais wetu. Tumepata Rais Mwenye kuheshimika popote pale akanyagapo Miguu Yake. Tumepata kiongozi Mwenye kuaminika na kuaminiwa na watu na aliyeliheshimisha Taifa letu.
Sasa Dunia Inaitambua Tanzania na mchango wake katika Mapinduzi ya kichumi ,vita dhidi ya umaskini,mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya Nchi,mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa , unyonyaji,uonevu n.k.
Sasa Tanzania inagonga na kuteka vyombo mbalimbali vya Habari vya kimataifa kwa uzuri wake na utulivu wake kwa kila atakaye kuitembea nchi yetu.
Ndio Maana leo Dunia nzima imeshuhudia Rais wetu akipokelewa na kupata mapokezi mazito na ya heshima kubwa sana huko uarabuni,huku ulinzi wake ukiwa mkali na mzito kwelikweliiiiiii kupita hata ule au sawa na wa Rais wa Marekani. Imekuwa ni gumzo na kila mmoja akifurahishwa na ugeni huo mzito na wa Heshima wa Rais wetu Mpendwa.
Kwa hakika Watanzania tembeeni vifua mbele . Tembeeni Kwa madaha na kunesanesa kwa furaha ,tabasamu na raha maana tuna Kiongozi wa nguvu , madhubuti,imara , shupavu na hodari kwelikweliiiiiii.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3538098
Uchi uliokutoa ni uchi wa kahaba muuza utamu..Kwenda zako huko wewe shetani uliyekosa haya
Mimi siyo Chawa.Chawa unajitia kidole alafu unanusa
Kazi yangu ni kuwaleteeni habari za ukweli na uhakikaIla bwana luca una moyo daahh😁😁😋
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Tumepata Rais ,tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele ,tuna kila sababu ya kujivunia Rais wetu. Tumepata Rais Mwenye kuheshimika popote pale akanyagapo Miguu Yake. Tumepata kiongozi Mwenye kuaminika na kuaminiwa na watu na aliyeliheshimisha Taifa letu.
Sasa Dunia Inaitambua Tanzania na mchango wake katika Mapinduzi ya kichumi ,vita dhidi ya umaskini,mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya Nchi,mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa , unyonyaji,uonevu n.k.
Sasa Tanzania inagonga na kuteka vyombo mbalimbali vya Habari vya kimataifa kwa uzuri wake na utulivu wake kwa kila atakaye kuitembea nchi yetu.
Ndio Maana leo Dunia nzima imeshuhudia Rais wetu akipokelewa na kupata mapokezi mazito na ya heshima kubwa sana huko uarabuni,huku ulinzi wake ukiwa mkali na mzito kwelikweliiiiiii kupita hata ule au sawa na wa Rais wa Marekani. Imekuwa ni gumzo na kila mmoja akifurahishwa na ugeni huo mzito na wa Heshima wa Rais wetu Mpendwa.
Kwa hakika Watanzania tembeeni vifua mbele . Tembeeni Kwa madaha na kunesanesa kwa furaha ,tabasamu na raha maana tuna Kiongozi wa nguvu , madhubuti,imara , shupavu na hodari kwelikweliiiiiii.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3538098
Matusi hayakusaidia kitu chochote kile zaidi ya kujionyesha matatizo na magonjwa ya akili yamekuandama na kukuelemeaUchi uliokutoa ni uchi wa kahaba muuza utamu..
Wewe ni MalayaNdugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Tumepata Rais ,tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele ,tuna kila sababu ya kujivunia Rais wetu. Tumepata Rais Mwenye kuheshimika popote pale akanyagapo Miguu Yake. Tumepata kiongozi Mwenye kuaminika na kuaminiwa na watu na aliyeliheshimisha Taifa letu.
Sasa Dunia Inaitambua Tanzania na mchango wake katika Mapinduzi ya kichumi ,vita dhidi ya umaskini,mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya Nchi,mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa , unyonyaji,uonevu n.k.
Sasa Tanzania inagonga na kuteka vyombo mbalimbali vya Habari vya kimataifa kwa uzuri wake na utulivu wake kwa kila atakaye kuitembea nchi yetu.
Ndio Maana leo Dunia nzima imeshuhudia Rais wetu akipokelewa na kupata mapokezi mazito na ya heshima kubwa sana huko uarabuni,huku ulinzi wake ukiwa mkali na mzito kwelikweliiiiiii kupita hata ule au sawa na wa Rais wa Marekani. Imekuwa ni gumzo na kila mmoja akifurahishwa na ugeni huo mzito na wa Heshima wa Rais wetu Mpendwa.
Kwa hakika Watanzania tembeeni vifua mbele . Tembeeni Kwa madaha na kunesanesa kwa furaha ,tabasamu na raha maana tuna Kiongozi wa nguvu , madhubuti,imara , shupavu na hodari kwelikweliiiiiii.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3538098
Wewe Ndio simply inaonesha una tatizo la afya ya akili Kwa kiwango Cha juu sanaMatusi hayakusaidia kitu chochote kile zaidi ya kujionyesha matatizo na magonjwa ya akili yamekuandama na kukuelemea
Na wewe kauzeKaenda kwenye mkutano wa wauza sura.
Unasema mimi ni mgonjwa wa akili wakati nafir mama yako !Matusi hayakusaidia kitu chochote kile zaidi ya kujionyesha matatizo na magonjwa ya akili yamekuandama na kukuelemea