econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,818
- 21,816
Kwahiyo anatuambia ili? Alikuwa makamu na sasa ni rais.
Ndio ameanza hatua kwa kuliweka wazi. Baadae mengine yatafuata.
Kwahiyo anatuambia ili? Alikuwa makamu na sasa ni rais.
Hizi stori tu, tuliambiwa CAG hawezi tolewa Ila Assad alitolewaMkuu kasome sheria , DPP akitoka lazima apande kuwa Jaji. Hilo lilifanyika hata kwa Eliezer Feleshi, alitoleawa UDPP akapewa ujaji. Huwezi kumtoa tu.
Mahakamani kwa waliohusika ndio mpango mzima vinginevyo hizi zitakuwa ni hekaya za kitabu cha Alfulela ulela !!Aulizwe polepole maana ndio alikuwa analitolea ufafanuzi tena kwa mahesabu Chanbel Ten.
Waliomsema kwamba kauza nchi na Mwanae kashikwa China na drugs na akapanda ndege usiku wa manane kwenda China ni Chadema na siyo “sheitwani” kama unavyodhania, picha graphic ni hao hao chadema!
Hizi stori tu, tuliambiwa CAG hawezi tolewa Ila Assad alitolewa
Hiyo kesi waliyoshinda wakina zito ni ya nini?Assad alimaliza awamu ya kwanza, ila hakuongezewa muda awamu nyingine.
Ceremonial mpaka atakapo ukwaa urais. Kwa sasa VP ni mdogo sasa kwa madaraka anasimamia Mazingira na Muungano basi. Na kufungua mabinanza, sherehe, semina, vikao. Hii nafasi ingefutwa tu.
Sasa muache ile sijui mzalendo... mzalendo ya nyokoKwani ni Rais gani siyo mwizi,ukiacha Mwalimu Nyerere?
Hujajibu swali langu,acha kunilisha mimi maneno ambayo sijayatamka.Kwa hivyo unakiri Magu alikuwa mwizi? Aiseee kumbe alikuwa anatudanganya? Shame on himi
kwani hujui hukumbuki jiwe kila siku alikuwa anampiga vijembe Jk au umesahauHakuna Rais asiye kuwa na madudu, kama JPM angeweka deals za JK ukumbini mbona nchi ingezizima. Kama anataka kusafisha serikali achukue hatua kama hachukui hatua na majizi yapo mule na anayateua kila kukicha basi nae ni jizi tarajiwa so aache unafiki.
best commentYule jamaa alikuwa ni wale jambazi anaiba, anabaka mbele ya watoto, anakata wenyeji mikono, anakula msosi wa watoto.
Wakat wa kuondoka anakunya sebulen na mwisho anachoma nyumba.
Huyu mama huyu!
Hata akionyesha mapungufu milion lakin hili la kuirudishia nchi oxygen limempa rehema.
kwahiyo akae kimya sababu na yeye atakuja kuoshwa ?Akimaliza awamu yake, awamu ya Saba watakuja kumuosha pia.
Ripoti za CAG hazifanyiwi kazi, uozo mwingine upo very open Hadi std 7 anauona na hakuna wakufanyia kazi.
Je awamu ya kwake IPO so clean and fresh?
Amekalia kufanya background check ilihali ushuzi aliojamba ameuacha unanuka.
wakati jiwe anatwambia kuwa Utawala uliopita kama kulikuwa hakuna serikali alikuwa anatwambia ili tufanyeje ?Kwahiyo anatuambia ili? Alikuwa makamu na sasa ni rais.
Ulisoma ripoti ya CAG?Hio ni propoganda za heavy kabwe baada ya kukatiwa line za asali. Aliona akimchafua atapata ahueni japo ushahidi hana.
Kama yale yaliyomzunguka jiwe na yeye akiwemo!Tena mengi yapo hai na mengine yamekuzunguka!
Ukoo wa shetani, kama wote waliomzunguka Jiwe. Jiwe angekuwa bado yumo huo ukoo ungekuwa bado umemzunguka na yeye akiwemo.take care sana mama yetu kwani hapo umegusa ukoo wa shetani!
Heshima mbeleUzuri ni kwama aliyekuwa DCI aliteuliwa na yeye Mama kuwa Jaji Kiongozi huku akiwa anayajua yote haya.Tuendelee kuchezeshwa ngoma na wanasiasa.
Usikute wewe ndio former VP mwenyeweKuna watu wanahoji kama hayo mambo ya Plea bargain wakati yanafanyika mbona Mama naye alikuwa sehemu ya Uongozi (VP).?
Wasichofahamu ni kuwa our late President alishasema mara kadhaa na kukiri hadharani kuwa Yeye hashauliwi. Na ukitaka kuharibu we mshauri.
Sasa huyo Madam President angeweza lini kumshauri mtu wa hivyo.
Wengine wanafanya kusahau hapa ile taarifa iliyovuja ya Madam Vice president alipotaka Kujiuzulu baada ya kushindwa kufanya kazi na Boss.
Ni ukweli uliowazi, timu zilizokuwa zinafanya Plea bargain zimepiga hela nyingi na kidogo zimeenda Serikalini na nyingine ziliingia kwenye mifuko yao
Ila praise team mkawa mnakata viuno kumshangilia hizo sanaa zake