kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Hata mama zao wanahangaika huko vijijini.Uzuri wake hata wale polisi waliosimamia wizi wa kura nao tozo zinawapiga kama kawaida.
Hata mama zao wanahangaika huko vijijini.Uzuri wake hata wale polisi waliosimamia wizi wa kura nao tozo zinawapiga kama kawaida.
Kaona watu wapo kimya kwa sasa kajua ndio wamebaki..Ili ujuwe kuwa watu wanalalamikia jambo fulani ni lazima watu hao wafanye nini?
Na kuhonga vimada waoUna hakika hizo pesa zitatumika kama wanavyosema? au kununulia ma vieete na posho zao?
Mngekatwa ninyi siye watuacheTupo wengi mno tunaokubali tozo. Tunachangia vitu vingapi sembuse tozo?
Tozo ni majanga na kwa jeuri ya viongozi wetu wamegoma kubadilisha. Katiba mpya ndio suluhisho ya unyonyaji huu.Nimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe.
Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.
Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.
Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.
Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.
Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.
Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.
#mbowe sio gaidi#
Amelaaniwa kabisa
HatoboiHuyu mama ni laanatullah
Kiswahili kwanzaMwendazaje huyu aliyekua anakimbia waandishi wa habari?kule Uganda alivyohojiwa aliishia tu kusema ‘human rights is not my priority’ hahahahah
Mwendazake aliwaambia kuwa MTAMKUMBUKA TUNimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe.
Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.
Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.
Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.
Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.
Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.
Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.
#mbowe sio gaidi#