Wanaovaaga hivi🤣👇
fotor_1628667590776.jpg
 
Nimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe.

Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.

Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.

Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.

Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.

Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.

Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.


#mbowe sio gaidi#
Tozo ni majanga na kwa jeuri ya viongozi wetu wamegoma kubadilisha. Katiba mpya ndio suluhisho ya unyonyaji huu.
 
Watanzania wanagugumia mioyoni kuhusu tozo ya miamala ya simu. Ukimya na upole wao wa kuamua kukaa kimya ndio unatumiwa na viongozi wao kusema wamekubaliana na tozo.
 
Kale ka msemo " bora ukae kimya watu wakudhanie ni mjinga kuliko kuongea pumba watu wathibitishe ujinga wako" naona kana mlandana bi mkoraaaaaa
 
Nimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe.

Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.

Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.

Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.

Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.

Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.

Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.


#mbowe sio gaidi#
Mwendazake aliwaambia kuwa MTAMKUMBUKA TU
 
Wengi wetu tumeangalia habari kwenye gazeti pendwa la uhuru kuwa Mama hatagombea 2025. KUNA KIHABARI NDO KIMENIVUTIA HABARI NA MPAKA SASA NATAFUTA GAZETI SILIONI BARABARANI.

Kwamba Sisi watanzania hatujakataa Tozo za Miamala ya simu. Wewe ulimtuma waziri mkuu kuwa umesikia kilio chetu na umewaagiza wakae kikao ambacho mpaka leo hakina majibu. Was it a good lie?
 
Ukitaka kuijua vizuri tabia halisi ya mwanadamu, wewe mpe tu pesa nyingi au mpe madaraka makubwa!
 
Back
Top Bottom