Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Mwigulu Nchemba na tozo nyingine tena.
Tozo hii ni tozo ya laini ya simu. Yaani Ukiweka vocha tu kwenye simu yako wanakukata Tozo, licha ya ukweli kwamba kila ukiweka salio kwenye simu yako unakatwa kodi ya asilimia 18 ya VAT.
Halafu Mwigulu Nchemba anakuja na habari zilezile za kodi ikajenge shule.
Nashangaa sana, Tulichukua mkopo wa Covid tukasema zikajenge shule, Tukaweka tozo ya miamala ya simu( hizi M-Pesa, Tigo Pesa) tukasema zikajenge shule, Tumeweka tozo za miamala ya kibenki excuse ni hiyohiyo ya kujenga shule, Sasa tunaweka tozo ya kuongeza salio tunasema eti ni za kujenga shule. Nobody can buy this nonsense!
Na hoja eti zikapeleke maji vijijini, kwani hizo kodi nyingine rasmi tunazolipa kila kukicha ikiwemo income tax, PAYE, VAT, na maushuru kedekede vinafanya kazi gani?.
This is too much, naona hawa akina Muigulu wanamuingiza Samia chaka naye hajastuka. Badala ya wao kubana matumizi, badala ya kuongeza vyanzo vipya vya mapato kwa raia, wao wanaingia kuchukua kibabe katika mifuko yao kutwaa vijisenti vyao.
Msikilize huyu jamaa hapa bungeni akitangaza kuweka kodi ya kuongeza salio kwenye laini za simu.
Tozo hii ni tozo ya laini ya simu. Yaani Ukiweka vocha tu kwenye simu yako wanakukata Tozo, licha ya ukweli kwamba kila ukiweka salio kwenye simu yako unakatwa kodi ya asilimia 18 ya VAT.
Halafu Mwigulu Nchemba anakuja na habari zilezile za kodi ikajenge shule.
Nashangaa sana, Tulichukua mkopo wa Covid tukasema zikajenge shule, Tukaweka tozo ya miamala ya simu( hizi M-Pesa, Tigo Pesa) tukasema zikajenge shule, Tumeweka tozo za miamala ya kibenki excuse ni hiyohiyo ya kujenga shule, Sasa tunaweka tozo ya kuongeza salio tunasema eti ni za kujenga shule. Nobody can buy this nonsense!
Na hoja eti zikapeleke maji vijijini, kwani hizo kodi nyingine rasmi tunazolipa kila kukicha ikiwemo income tax, PAYE, VAT, na maushuru kedekede vinafanya kazi gani?.
This is too much, naona hawa akina Muigulu wanamuingiza Samia chaka naye hajastuka. Badala ya wao kubana matumizi, badala ya kuongeza vyanzo vipya vya mapato kwa raia, wao wanaingia kuchukua kibabe katika mifuko yao kutwaa vijisenti vyao.
Msikilize huyu jamaa hapa bungeni akitangaza kuweka kodi ya kuongeza salio kwenye laini za simu.